Jifunze kilimo cha nyanya

Wakuu nimetafuta Assila Arusha nikaambiwa imeisha ila kuna mbadala wake ambayo ni “Monica F1 “ kuna mwenye ujuzi Na hii mbegu? Pia wanauza mbegu 500 kwa sh 30,000 je kwa heka Moja inaingia mbegu ngapi?
Jua nyanya zipo fupi, saizi ya kati na ndefu!!

Asilla ni size ya kati yaan inaweza kwenda juu mpaka mita 2 au 1.5!!

Sasa hiyo monica ungeuliza ni fupi au ndefu?

Usije ukauziwa ndefu maana zitakusumbua kwenye matunzo... Hizi zinawafaa watu greenhouse na zinazaa sana sema challenge ndio hiyo!!
 
Wakuu miezi mitatu ili nyanya kukomaa na kuanza kuvuna, je ni pamoja na siku za kwny kitalu? Je, ni mbegu gani nzuri kwa kilimo cha greenhouse?

Natanguliza shukrani !

Sent from my HTC Desire 828 using JamiiForums mobile app
 
Karibu sn mkuu, bado hujachelewa msimu huu ndio kwanza tunakodi shamba na tupo hapa hadi mavuno
Unalimia wapi?
Habar mkuu; nimepanda Assilla Dumila Morogoro ina kama week tatu sasa ...kulingana n.a. uzoefu wako wa eneo Hilo changamoto gani nitegemee upande wa ukuzaji shambani ; n.a. vipi wakati wa Uvunaji soko linaweza kuwa n.a. bei ipi
SHUKRAN
 
Wakuu msaada wenu.

Hizi nyanya leo zina siku ya 28 lakini kuanzia jana nimeona matatizo mawili ambayo sijajua nayatatuaje

1. Kuna miche 3 imelegea km inataka kufa

29563c0e2267a8fc028a07426a924ba0.jpg
530902bdf361e61c985efd00f67a9a67.jpg

2. Majani ya miche karibu 80% yamejikunja mpaka kufanya miche ionekane imekuwa myembamba sana
18beec71c8c431ba9236d3bcb70bb8c8.jpg
8dce483f851a0af5d8c1641198e0c05f.jpg
942dee73052d2b645148e99aa5401926.jpg

Tofauti kati ya mche ulio kawaida na wenye shida, huo wa kushoto ndo umebadilika
b4c58e1b16c2a5b3752547fafd974ab6.jpg

Sijajua tatizo ni nn wala sielewi nafanyaje hapa, msaada wenu tafadhali
Cc: the horticulturist Yumbayumba Upepo wa Pesa na wadau wengine
 
Wakuu nimetafuta Assila Arusha nikaambiwa imeisha ila kuna mbadala wake ambayo ni “Monica F1 “ kuna mwenye ujuzi Na hii mbegu? Pia wanauza mbegu 500 kwa sh 30,000 je kwa heka Moja inaingia mbegu ngapi?
Kwa arusha kuna sehemu moja ambayo najua hawawezi kukosa assila mkuu...kuna kampuni ipoopposite na msikiti wa ngarenaro pale kwenye sheli ya camel kuna duka lina itwa daymo trading company ltd,wanauza mbegu za aina zote pamoja na kufunga drip irrigation system,greenhouses na dam liner....jumatano wiki iliyopita nilichukua 30g za asilla pale..jaribu kufika pale
 
Wakuu msaada wenu

Hizi nyanya leo zina siku ya 28 lakini kuanzia jana nimeona matatizo mawili ambayo sijajua nayatatuaje

1. Kuna miche 3 imelegea km inataka kufa
29563c0e2267a8fc028a07426a924ba0.jpg
530902bdf361e61c985efd00f67a9a67.jpg

2. Majani ya miche karibu 80% yamejikunja mpaka kufanya miche ionekane imekuwa myembamba sana
18beec71c8c431ba9236d3bcb70bb8c8.jpg
8dce483f851a0af5d8c1641198e0c05f.jpg
942dee73052d2b645148e99aa5401926.jpg

Tofauti kati ya mche ulio kawaida na wenye shida,,huo wa kushoto ndo umebadilika
b4c58e1b16c2a5b3752547fafd974ab6.jpg
Sijajua tatizo ni nn wala sielewi nafanyaje hapa, msaada wenu tafadhali
Cc: the horticulturist Yumbayumba Upepo wa Pesa na wadau wengine

Pole mkuubila sio tatizo kubwa

Nimetazama zilizoonyesha dalili ya kunyauka,shina naona liko okay vipi maji unanyesha vipi kiasi gani kwa siku na unanyesha kila baada ya siku ngapi?

Pili majani kujikunja naona yameangalia juu kuna mawili either maji kidogo hivyo yanajipinda kukinga upotevu wa maji,pili yameingiliwa na wadudu wanaofyonza jani kwa juu haswa mites/mchwa. Nijibu la maji litatupa jibu zuri zaidi. Inaweza kua mwanzo wa TYLC-tomato yellow leaf curling virus ila mbegu chotara nyingi zinavumilia je ni mbegu gani hiyo?

Nb: hata kama inavumilia au haivumilia je kuna wanaoingia na sigara shambani au mvutaji anapita karibu ya shamba au kuna tumbaku jirani maana tylc iko sana kwenye tumbaku.
 
Wakuu habari mbegu gani ya nyanya kati ya hizi Jarrah F1 kutoka rijkzwan na Eden F1 kutoka monsanto
 
Pole mkuubila sio tatizo kubwa

Nimetazama zilizoonyesha dalili ya kunyauka,shina naona liko okay vipi maji unanyesha vipi kiasi gani kwa siku na unanyesha kila baada ya siku ngapi?

Pili majani kujikunja naona yameangalia juu kuna mawili either maji kidogo hivyo yanajipinda kukinga upotevu wa maji,pili yameingiliwa na wadudu wanaofyonza jani kwa juu haswa mites/mchwa. Nijibu la maji litatupa jibu zuri zaidi. Inaweza kua mwanzo wa TYLC-tomato yellow leaf curling virus ila mbegu chotara nyingi zinavumilia je ni mbegu gani hiyo???


Nb: hata kama inavumilia au haivumilia je kuna wanaoingia na sigara shambani au mvutaji anapita karibu ya shamba au kuna tumbaku jirani maana tylc iko sana kwenye tumbaku.
Mkuu maji namwagilia kila baada ya siku 2,yani nkimwagia j3 nakuja mwagia tena alhamis ila mpk inatokea hyo hali nlipitisha siku 1 yan nlimwagia baada ya siku 3

Kiasi cha maji japo sijawah kupima ila ni km lita 3 mpk 5 mana huwa namwagia mpk lile tuta linajaa kbs
 
Pole mkuubila sio tatizo kubwa

Nimetazama zilizoonyesha dalili ya kunyauka,shina naona liko okay vipi maji unanyesha vipi kiasi gani kwa siku na unanyesha kila baada ya siku ngapi?

Pili majani kujikunja naona yameangalia juu kuna mawili either maji kidogo hivyo yanajipinda kukinga upotevu wa maji,pili yameingiliwa na wadudu wanaofyonza jani kwa juu haswa mites/mchwa. Nijibu la maji litatupa jibu zuri zaidi. Inaweza kua mwanzo wa TYLC-tomato yellow leaf curling virus ila mbegu chotara nyingi zinavumilia je ni mbegu gani hiyo???


Nb: hata kama inavumilia au haivumilia je kuna wanaoingia na sigara shambani au mvutaji anapita karibu ya shamba au kuna tumbaku jirani maana tylc iko sana kwenye tumbaku.
Kuhusu mbegu sio chotara ni mbegu ya kawaida tena ya kukamua,,niliichkua kwa mkulima m1 huko Dodoma
 
Wakuu msaada wenu

Hizi nyanya leo zina siku ya 28 lakini kuanzia jana nimeona matatizo mawili ambayo sijajua nayatatuaje

1. Kuna miche 3 imelegea km inataka kufa
29563c0e2267a8fc028a07426a924ba0.jpg
530902bdf361e61c985efd00f67a9a67.jpg


2. Majani ya miche karibu 80% yamejikunja mpaka kufanya miche ionekane imekuwa myembamba sana
18beec71c8c431ba9236d3bcb70bb8c8.jpg
8dce483f851a0af5d8c1641198e0c05f.jpg
942dee73052d2b645148e99aa5401926.jpg


Tofauti kati ya mche ulio kawaida na wenye shida,,huo wa kushoto ndo umebadilika
b4c58e1b16c2a5b3752547fafd974ab6.jpg


Sijajua tatizo ni nn wala sielewi nafanyaje hapa, msaada wenu tafadhali
Cc: the horticulturist Yumbayumba Upepo wa Pesa na wadau wengine
Mkuu kwanza hapo shida ya kwanza joto, inaonekana shamba linakichanga linatunza sn joto
Pia hivyo ulivyoweka kisahani kwenye miche inamaana maji unamwagia kwenye kisahani tu sasa sehemu ya shamba ambayo humwagii maji inatunza joto
 
Kuna picha ninayo nilitaka nikuonyeshe jinsi ya kuweka vimtaro vidogo ambavyo ukimwagia maji yanapita kwenye mstari kuanzia shina la kwanza hadi la mwisho tofauti na hivyo visahani ulivyoweka ww.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom