Yumbayumba
JF-Expert Member
- May 31, 2012
- 1,239
- 822
hii mbegu ya assila gramu 50 inauzwa 560,000/=Mkuu hii mbegu nibei gani. Mbali na mbegu hiyo ya asilla ipi mbegu nyingine nzuri yenye bei nafuu. Vip kuhusu mbegu ya riogrand ina ubora nasifa gani. Je, nyanya inahasara hatakama ukiuza tenga kwa bei ya 10000 itakulipa ikiwa umezihudumia vizuri?