Shaffin Simbamwene
JF-Expert Member
- Nov 16, 2008
- 2,156
- 1,521
Mkuu umepiga parefu.Mastercad yako inapaswa kuwa na Tsh 2440 x 94.1 = 229, 604
Aliexpress rate of exchange ni 2440.
China post wapo ovyo sana siku hizi maana hawatabiriki kabisa.Pendelea kutumia courier service hawa:-
1.Singapore post
2.Ali express standard shipping (Singapore post)
3.hong Kong post
4.China post registered mail
5.PostNL
6.Sweden post
7.Asendia
Utapata mzigo wako ndani ya wiki 2-5.
Wengine wawaliobaki kama:-
1 China post small packet plus
2.4PX Singapore post OM pro,
3.Yanwen Economic Air Mail
Hapo subiria miezi 2+ au zaidi au usiupate kabisa.
Na bank transaction fees ni bei gani maana na visa ya crdb?Kama hiyo 94.1 inahusisha na shipping fee basi account yako inatakiwa iwe na tsh 226,000 kukamilisha hayo malipo coz:
1.aliexpress exchange rate ni tsh 2300 per usd so Itakuwa tsh 216, 430
2.mpesa mastercard transaction fee 4% Sawa na tsh 8657.2
Jumla ni tsh 225, 087.2
So Weka Tsh 226,000 utafanya manunuzi bila ya shida.
Watumiaji wa Tembo card wataleta mrejesho hapa maana binafsi sijawahi kuwatumia Hao jamaa kufanya online purchaseNa bank transaction fees ni bei gani maana na visa ya crdb?
Mimi nimeacha kabisa kuwatumia China Post, ni bora nilipie gharama kiasi kwaajili ya standard shipping tu.China post wapo ovyo sana siku hizi maana hawatabiriki kabisa.
Nimeagiza mzigo Via China post registered Mail sasa siku ya 48 nasotea tu.
Mzigo mwingine niliagiza kupitia China Post Small packet plus umefika fasta sana yaani wiki 2 nishautia mkononi.
Nashindwa kuwaelewa kabisa hawa jamaa
Cc: Mr. Mobile
Ni viatuKitu gani uliagiza
China post wapo ovyo sana siku hizi maana hawatabiriki kabisa.
Nimeagiza mzigo Via China post registered Mail sasa siku ya 48 nasotea tu.
Mzigo mwingine niliagiza kupitia China Post Small packet plus umefika fasta sana yaani wiki 2 nishautia mkononi.
Nashindwa kuwaelewa kabisa hawa jamaa
Cc: Mr. Mobile
Watumiaji wa Tembo card wataleta mrejesho hapa maana binafsi sijawahi kuwatumia Hao jamaa kufanya online purchase
Hii ni kwa upande wa Equity huwa wananicharge 1usd equal 2440tsh include transaction feesMkuu umepiga parefu.
Exchange Rate aliexpress ni 2300 kilichomkwamisha jamaa ni Ile 4% transaction fee ya mpesa maana jamaa hawafanyi bure.
Nishafungua dispute wanasema ni subiri hadi siku ya 60 kama bado mzigo watanirefund.Hao China Post Registered Mail wahuni asee, nimeapa kutowatumia tena. Niliagiza charger baada ya wiki moja wakaniambia iko Dar, nikasema asante Mungu. Huwezi amini ilienda siku 60 bila kupata chaja nikaamua kufungua dispute nirudishiwe hela yangu.
Baada ya wiki moja ndio chaja ikafika huku hela ninayo mkononi, maana yake mzigo ulitumia siku 60+. Bado nawaza kuwalipa sasa.
Bidhaa zenye thamani kubwa lazima zipitie kwa watu wa TRA pia sio vitu vyote vina exemptionWakuu mbona tulijuzwa hapa kuwa TRA hawashikilii bidhaa zinazokuja kwa njia ya posta hasa aliexpress
Kuanzia sh ngapBidhaa zenye thamani kubwa lazima zipitie kwa watu wa TRA pia sio vitu vyote vina exemption
Jamaa hawapo wazi ila nadhani USD 190 au 200Kuanzia sh ngap
Jamaa hawapo wazi ila nadhani USD 190 au 200
Ila Inategemea na mazingaombwe ya seller
Mwambie Seller afanye mazingaombweAsa tujuzane jinsi ya kusaidia hivi vitu maana me nataka niagize simu so tujuzane trick za kupunguza kodi
Wewe agiza tu boss maana mambo ya kodi hayatabiriki.Asa tujuzane jinsi ya kusaidia hivi vitu maana me nataka niagize simu so tujuzane trick za kupunguza kodi
Siyo ushauri sahihi maana jamaa wa TRA wamepewa mamlaka ya kuchana parcel na kujiridhisha thamani halisi ya mzigo.Mwambie Seller afanye mazingaombwe