Mkuu skwenye hiyo link, nimepitia bidhaa mbalimbali, ila sijaona sehemu ya ku-order, naomba nieleweshe plse.Kama umeridhika na hiyo descrption ya item nunua maana mambo ya paypal unakuwa na peace kawaida tu
Lkn hizo 8MP inamaana camera yake imezidiwa na simu
Mm nimezoea 16MP ndo camera standard