Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,504
- 28,693
Vipi kuhusu techno N2
Mkuu, wewe ni noma! I salute to you. Yaan nlikuwa nawaza namna ya ku unlock hii Y3 juz nilienda sehem nikaambiwa buku 20. Dahhh ulitakiwa utunikiwe PhD kwa jambo hili, ila kwa kuwa ni bongo, nadhani TCRA wakkujua wanaweza kukumind.....Habari Zenu wana Jf,
Nimekua nikipokea request nyingi sana Pm watu wakiniomba niwaelekeze jinsi ya ku unlock simu ya TECNO Y3+.
Zaidi ya 20 nilishawaelekeza na wamefanikiwa 1000% , haihitaji Pc.
Tuache maneno. Twende na muziki sasa.
Mahitaji:
1,TECNO Y3+
2,INTERNET BUNDLE (Just 2mb)
Fanya yafutayo.
1, kweny hiyo simu ingia PLAYSTORE,alaf download MTK ENGINEERING MODE au MTK ENGINEERING MODE SHORTCUT.
2,Ikishamaliza kuinstall ifungue hiyo Mtk engineering,
3,itakuja menu yenye Tabs. Angalia neno TELEPHONY
4,Shusha kuelekea chini ya Telephony mpaka upate neno SIMME LOCK au SIM LOCK alaf chagua hapo
5,ukimaliza step 4 utaona neno NETWORK PERSONALIZATION, fungua hapo alaf utaona UNLOCK/NETWORK UNLOCK ,
6,Ukiselect network unlock simu itaomba unlock codes , tumia 12345678
7,ukishamaliza hapo bonyeza button ya back mara moja, Utaona PERMANENTLY UNLOCK, chagua hiyo.
8, restart simu yako na kila kitu kitakua poa.
Enjooooooy
Huduma ya unlock codes ya simu za voda ipo, najitahid kukamilisha mfumo wa remote unlock ili niwafikie weny simu zenye security ngumu
Wenu mtiifu
PHILLZ UNLOCK SERVICE
Mkuu hii cm yangu inasoma E kwenye net, napo kuna maujanja ya kurekebisha network iwe walau H+Habari Zenu wana Jf,
Nimekua nikipokea request nyingi sana Pm watu wakiniomba niwaelekeze jinsi ya ku unlock simu ya TECNO Y3+.
Zaidi ya 20 nilishawaelekeza na wamefanikiwa 1000% , haihitaji Pc.
Tuache maneno. Twende na muziki sasa.
Mahitaji:
1,TECNO Y3+
2,INTERNET BUNDLE (Just 2mb)
Fanya yafutayo.
1, kweny hiyo simu ingia PLAYSTORE,alaf download MTK ENGINEERING MODE au MTK ENGINEERING MODE SHORTCUT.
2,Ikishamaliza kuinstall ifungue hiyo Mtk engineering,
3,itakuja menu yenye Tabs. Angalia neno TELEPHONY
4,Shusha kuelekea chini ya Telephony mpaka upate neno SIMME LOCK au SIM LOCK alaf chagua hapo
5,ukimaliza step 4 utaona neno NETWORK PERSONALIZATION, fungua hapo alaf utaona UNLOCK/NETWORK UNLOCK ,
6,Ukiselect network unlock simu itaomba unlock codes , tumia 12345678
7,ukishamaliza hapo bonyeza button ya back mara moja, Utaona PERMANENTLY UNLOCK, chagua hiyo.
8, restart simu yako na kila kitu kitakua poa.
Enjooooooy
Huduma ya unlock codes ya simu za voda ipo, najitahid kukamilisha mfumo wa remote unlock ili niwafikie weny simu zenye security ngumu
Wenu mtiifu
PHILLZ UNLOCK SERVICE
vipi tecno S1 ya tigo inafaa?N2 ya tigo naitoa, kama una PC nijulishe nikufanyia usiku huu..
Pc
Usb cable
Internet bundle
Ya soda tu...
jamani na mimi naomba nisaidiwe namna ya kuunlock halotel 8401bro vp kuusu unlock ya halotel h8401..?
ni halotel H8401jamani na mimi naomba nisaidiwe namna ya kuunlock halotel 8401