Jifunze jinsi ya ku-unlock Tecno Y3+

Philipo D. Ruzige

JF-Expert Member
Sep 25, 2015
9,428
27,090
Habari Zenu wana Jf,

Nimekua nikipokea request nyingi sana Pm watu wakiniomba niwaelekeze jinsi ya ku unlock simu ya TECNO Y3+.

Zaidi ya 20 nilishawaelekeza na wamefanikiwa 1000% , haihitaji Pc.

Tuache maneno. Twende na muziki sasa.

Mahitaji:
1,TECNO Y3+
2,INTERNET BUNDLE (Just 2mb)

Fanya yafutayo.

1, kweny hiyo simu ingia PLAYSTORE,alaf download MTK ENGINEERING MODE au MTK ENGINEERING MODE SHORTCUT.

2,Ikishamaliza kuinstall ifungue hiyo Mtk engineering,

3,itakuja menu yenye Tabs. Angalia neno TELEPHONY

4,Shusha kuelekea chini ya Telephony mpaka upate neno SIMME LOCK au SIM LOCK alaf chagua hapo

5,ukimaliza step 4 utaona neno NETWORK PERSONALIZATION, fungua hapo alaf utaona UNLOCK/NETWORK UNLOCK ,

6,Ukiselect network unlock simu itaomba unlock codes , tumia 12345678

7,ukishamaliza hapo bonyeza button ya back mara moja, Utaona PERMANENTLY UNLOCK, chagua hiyo.

8, restart simu yako na kila kitu kitakua poa.

Enjooooooy


Huduma ya unlock codes ya simu za voda ipo, najitahid kukamilisha mfumo wa remote unlock ili niwafikie weny simu zenye security ngumu

Wenu mtiifu

PHILLZ UNLOCK SERVICE
 
Habari Zenu wana Jf,

Nimekua nikipokea request nyingi sana Pm watu wakiniomba niwaelekeze jinsi ya ku unlock simu ya TECNO Y3+.

Zaidi ya 20 nilishawaelekeza na wamefanikiwa 1000% , haihitaji Pc.

Tuache maneno. Twende na muziki sasa.

Mahitaji:
1,TECNO Y3+
2,INTERNET BUNDLE (Just 2mb)

Fanya yafutayo.

1, kweny hiyo simu ingia PLAYSTORE,alaf download MTK ENGINEERING MODE au MTK ENGINEERING MODE SHORTCUT.

2,Ikishamaliza kuinstall ifungue hiyo Mtk engineering,

3,itakuja menu yenye Tabs. Angalia neno TELEPHONY

4,Shusha kuelekea chini ya Telephony mpaka upate neno SIMME LOCK au SIM LOCK alaf chagua hapo

5,ukimaliza step 4 utaona neno NETWORK PERSONALIZATION, fungua hapo alaf utaona UNLOCK/NETWORK UNLOCK ,

6,Ukiselect network unlock simu itaomba unlock codes , tumia 12345678

7,ukishamaliza hapo bonyeza button ya back mara moja, Utaona PERMANENTLY UNLOCK, chagua hiyo.

8, restart simu yako na kila kitu kitakua poa.

Enjooooooy


Huduma ya unlock codes ya simu za voda ipo, najitahid kukamilisha mfumo wa remote unlock ili niwafikie weny simu zenye security ngumu

Wenu mtiifu

PHILLZ UNLOCK SERVICE
Ntaleta mrejesho.
 
Nimejaribu lakini nimefika hapo ukitouch haileti chochote msaada wako mkuu
145dd20b43d809364e3aac1f7425aa59.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom