Jibu langu kwa Liverpool VPN na wenye shaka sa ndoa

In short,

Mapenzi ni feelings na emotions na ndoa ni commitments, ukiwa kwenye ndoa itafika muda hisia mapenzi zitakata, yani Mme au mke wako utamuona kama ndugu yako tu, ikifika hali iyo basi una baki na commitment ya ndoa

tatizo linakujaga wengi wana picture ndoa kwenye upande mmoja tu wa mahisia na mahaba niue, wanasahau kuwa committed na ndoa zao

samahan wadau, hivi kiswahil cha neno commitment ni nini? 😂😂😂
Commit = Kujitoa.

Naassume na commitment itaangukia humu. Upo sahihi.
 
1...........
Nilizaliwa 1990 jijini Dar es salaam..

Nilipoteza wazazi nikiwa mdogo sanaa (darasa la 4) nikapitia mengi kama kutengwa na ndugu, kulala jikoni, kulala barazani, kuchota maji kwenye nyumba za watu Dar es salaam ili nipate hela ya Shule, na mengine magumu mengii ambayo mayatima hupitia, ila NILIVUKA KWA KILIO, MAJUTO, UKOMAVU NA KILA AINA YA SALA.

The rest now is history.

Kwasasa nina Miaka 31.

Nilizaliwa Dar, nikasomea Dar na nilianza Kazi private Dar (2012) kabla sijaingia serikalini 2013

Kwasasa naishi Mkoani@kazini.

Elimu:- Nina Masters, ndani ya miaka hii mi5 ya Samia nahitaji kurudi darasani kuchukua PhD.

Nina mtoto wa kike na naishi nae..!!!

Sina mpango wa kuoa kabisa na Wala sifikiriii.

Kwasasa nawaza tu kupata money.

Nahitaji pesa, pesa ni furaha.

Pesa zinanipa fursa ya kwenda kokote na kukutana na yeyoteee, maana hata hizo ndogo nilizonazo sasa zimenithibitishia hilo.

Ngoja nifike miaka 39 ndio nitakwambia naoa lini..!!!

Ila nahitaji mtoto wa pili...!!!

2.......
2015 ndio nilimfumania mchungaji wa KKKT akitombana na demu wangu.

Ila hii sio sababu ya kugoma kuoa maana hata 2014 nilishawahi shindwana na mtoto wa shehe kisa alitaka nikajitambulishe kwao na Mimi kuoa SITAKI.

Hata wiki iliyopita nilishindwana na mtanga mmoja baada ya kukuta sms za mwanaume wakisifiana juu ya kugongana.

Kwenye mapenzi sitaki stress, nikikususpect nakuchunguza nikifuma ukweli IT'S DONE, usisahau MWANAMKE MZINZI HASAMEHEWI.

Kwasasa nimejikita kwenye uwekezaji na hasa wa Kilimo, nafanya kilimo cha matunda na miti.

Naamini ""INVESTMENT is the best than BUSINESS""

View attachment 1855932

Kengine, napenda sanaa kutomban* ila KUOA HAPANA.

SIJAONA SABABU YA KUOA MPAKA SASA.

#YNWA
Wasifu mzuri sana wa kabwela mwandamizi mmoja wa jf
 
1...........
Nilizaliwa 1990 jijini Dar es salaam..

Nilipoteza wazazi nikiwa mdogo sanaa (darasa la 4) nikapitia mengi kama kutengwa na ndugu, kulala jikoni, kulala barazani, kuchota maji kwenye nyumba za watu Dar es salaam ili nipate hela ya Shule, na mengine magumu mengii ambayo mayatima hupitia, ila NILIVUKA KWA KILIO, MAJUTO, UKOMAVU NA KILA AINA YA SALA.

The rest now is history.

Kwasasa nina Miaka 31.

Nilizaliwa Dar, nikasomea Dar na nilianza Kazi private Dar (2012) kabla sijaingia serikalini 2013

Kwasasa naishi Mkoani@kazini.

Elimu:- Nina Masters, ndani ya miaka hii mi5 ya Samia nahitaji kurudi darasani kuchukua PhD.

Nina mtoto wa kike na naishi nae..!!!

Sina mpango wa kuoa kabisa na Wala sifikiriii.

Kwasasa nawaza tu kupata money.

Nahitaji pesa, pesa ni furaha.

Pesa zinanipa fursa ya kwenda kokote na kukutana na yeyoteee, maana hata hizo ndogo nilizonazo sasa zimenithibitishia hilo.

Ngoja nifike miaka 39 ndio nitakwambia naoa lini..!!!

Ila nahitaji mtoto wa pili...!!!

2.......
2015 ndio nilimfumania mchungaji wa KKKT akitombana na demu wangu.

Ila hii sio sababu ya kugoma kuoa maana hata 2014 nilishawahi shindwana na mtoto wa shehe kisa alitaka nikajitambulishe kwao na Mimi kuoa SITAKI.

Hata wiki iliyopita nilishindwana na mtanga mmoja baada ya kukuta sms za mwanaume wakisifiana juu ya kugongana.

Kwenye mapenzi sitaki stress, nikikususpect nakuchunguza nikifuma ukweli IT'S DONE, usisahau MWANAMKE MZINZI HASAMEHEWI.

Kwasasa nimejikita kwenye uwekezaji na hasa wa Kilimo, nafanya kilimo cha matunda na miti.

Naamini ""INVESTMENT is the best than BUSINESS""

View attachment 1855932

Kengine, napenda sanaa kutomban* ila KUOA HAPANA.

SIJAONA SABABU YA KUOA MPAKA SASA.

#YNWA
Bro hili jibu lilikua kwaajili ya kuaddress hali anayopitia rafiki yako niamini mimi sijalenga kukulazimisha uoe.

Mwanamke mzinzi hasamehewi huo ni mstari wa dini kama unaweza kuuishi huo mstari eventually you will settle down with someone.
 
1...........
Nilizaliwa 1990 jijini Dar es salaam..

Kengine, napenda sanaa kutomban* ila KUOA HAPANA.

SIJAONA SABABU YA KUOA MPAKA SASA.

#YNWA

Ukiacha hizo porojo hapo juu, unajisifia unapenda kumbato lakini kila mara umekuwa ukifumania UNAGONGEWA…. jichunguze utagundua tatizo lipo kwako.

Fundi wa kuto mba kiasi cha kujisifu lakini kila siku unagongewa, bora jikite kwenye kilimo tu.
 
Maoni yako juu ya anal sex yanaashiria you are open na unaweza jadiliana na mwenzi wako jambo lolote and kinky. Hiyo attitude nenda nayo kwenye ndoa mtapita katika phase ya sex rut easily.
Hiki ulichokiandika kinahusu nini na hii mada?
Wanaojistukia na unafiki wao, utawajua tyuuh lol
 
Ukiacha hizo porojo hapo juu, unajisifia unapenda kumbato lakini kila mara umekuwa ukifumania UNAGONGEWA…. jichunguze utagundua tatizo lipo kwako.

Fundi wa kuto mba kiasi cha kujisifu lakini kila siku unagongewa, bora jikite kwenye kilimo tu.
Hujanielewa...

Kufumania ni mara moja tuu...

Ila wengine ni sms tu zilitosha kuwapiga chini.

Mbona hata mkeo anatombwa, Kama unabisha leo kavamie simu yake. Kwanini usimpige Chini??

Mi nikikuta sms tu inatosha kuvunja uhusiano.

Nakuta sijui ana chat na Ex ili wajikumbushe NAPIGA CHINI.

Nakuta sijui wanachat na mchepuko juu wa uchepukaji walioufanya NAPIGA CHINI.

Nakuta sijui anabembelezwa akagawe tunda na kaingia laini NAPIGA CHINI.

Yaaani nikihisi kanisaliti na nikathibitisha NAPIGA CHINI.

Nikuulize wewe "Mkeo ameingizwa guest ila bado unakomaa nae" eti sijui TUMEZAA, sijui SIWEZI ISHI BILA YEYE.

Mi sheria yangu MWANAMKE MZINZI HASAMEHEWI.

Any evidence will make enough evidence to END THE RELATION.

After all WANAWAKE NI WENGI MNAKAAJE NA HAO WALIOCHEPUKA NA KUWASILITI ETI KISA NDOA?

Chukua huyu, then kabadilika PIGA CHINI NENDA KWA YULE.

NO HEADACHE ATTACHED.

PIGA CHINIIIIIIIII

#YNWA
 
1...........
Nilizaliwa 1990 jijini Dar es salaam..

Nilipoteza wazazi nikiwa mdogo sanaa (darasa la 4) nikapitia mengi kama kutengwa na ndugu, kulala jikoni, kulala barazani, kuchota maji kwenye nyumba za watu Dar es salaam ili nipate hela ya Shule, na mengine magumu mengii ambayo mayatima hupitia, ila NILIVUKA KWA KILIO, MAJUTO, UKOMAVU NA KILA AINA YA SALA.

The rest now is history.

Kwasasa nina Miaka 31.

Nilizaliwa Dar, nikasomea Dar na nilianza Kazi private Dar (2012) kabla sijaingia serikalini 2013

Kwasasa naishi Mkoani@kazini.

Elimu:- Nina Masters, ndani ya miaka hii mi5 ya Samia nahitaji kurudi darasani kuchukua PhD.

Nina mtoto wa kike na naishi nae..!!!

Sina mpango wa kuoa kabisa na Wala sifikiriii.

Kwasasa nawaza tu kupata money.

Nahitaji pesa, pesa ni furaha.

Pesa zinanipa fursa ya kwenda kokote na kukutana na yeyoteee, maana hata hizo ndogo nilizonazo sasa zimenithibitishia hilo.

Ngoja nifike miaka 39 ndio nitakwambia naoa lini..!!!

Ila nahitaji mtoto wa pili...!!!

2.......
2015 ndio nilimfumania mchungaji wa KKKT akitombana na demu wangu.

Ila hii sio sababu ya kugoma kuoa maana hata 2014 nilishawahi shindwana na mtoto wa shehe kisa alitaka nikajitambulishe kwao na Mimi kuoa SITAKI.

Hata wiki iliyopita nilishindwana na mtanga mmoja baada ya kukuta sms za mwanaume wakisifiana juu ya kugongana.

Kwenye mapenzi sitaki stress, nikikususpect nakuchunguza nikifuma ukweli IT'S DONE, usisahau MWANAMKE MZINZI HASAMEHEWI.

Kwasasa nimejikita kwenye uwekezaji na hasa wa Kilimo, nafanya kilimo cha matunda na miti.

Naamini ""INVESTMENT is the best than BUSINESS""

View attachment 1855932

Kengine, napenda sanaa kutomban* ila KUOA HAPANA.

SIJAONA SABABU YA KUOA MPAKA SASA.

#YNWA
Umenikumbusha movie ya Kanumba ya MOSES...
 
Hiki ulichokiandika kinahusu nini na hii mada?
Wanaojistukia na unafiki wao, utawajua tyuuh lol
Umenielewa visivyo.

Nilichoandika ni nimekimaanisha kama nilivyomaanisha hamna hidden meaning hapo. Ni kweli pia kipo mbali na mada ila niliongelea ni vipi openness inasaidia katika kuishinda sex rut.

Samahani kama nimefanya unione mnafiki.
 
Hujanielewa...

Kufumania ni mara moja tuu...

Ila wengine ni sms tu zilitosha kuwapiga chini.

Mbona hata mkeo anatombwa, Kama unabisha leo kavamie simu yake. Kwanini usimpige Chini??

Mi nikikuta sms tu inatosha kuvunja uhusiano.

Nakuta sijui ana chat na Ex ili wajikumbushe NAPIGA CHINI.

Nakuta sijui wanachat na mchepuko juu wa uchepukaji walioufanya NAPIGA CHINI.

Nakuta sijui anabembelezwa akagawe tunda na kaingia laini NAPIGA CHINI.

Yaaani nikihisi kanisaliti na nikathibitisha NAPIGA CHINI.

Nikuulize wewe "Mkeo ameingizwa guest ila bado unakomaa nae" eti sijui TUMEZAA, sijui SIWEZI ISHI BILA YEYE.

Mi sheria yangu MWANAMKE MZINZI HASAMEHEWI.

Any evidence will make enough evidence to END THE RELATION.

After all WANAWAKE NI WENGI MNAKAAJE NA HAO WALIOCHEPUKA NA KUWASILITI ETI KISA NDOA?

Chukua huyu, then kabadilika PIGA CHINI NENDA KWA YULE.

NO HEADACHE ATTACHED.

PIGA CHINIIIIIIIII

#YNWA
Nafikiri unazunguka mule mule kwamba unapenda kumega ila hua unamegewa.

Mmoja ulimfumania kabisa.

Wengine ulikuta washafanya.

Wengine wanaelekea kufanya.

Are you insecure?
 
Nafikiri unazunguka mule mule kwamba unapenda kumega ila hua unamegewa.

Mmoja ulimfumania kabisa.

Wengine ulikuta washafanya.

Wengine wanaelekea kufanya.

Are you insecure?
Ni kuwachoka tu.

Nikikuchoka sababu haikosi.

Siwezi kuwa na mmoja kwa zaidi hata ya miezi.

Nikilala nao mara 3 au 4, then hakuna jipya basi ni ku time simu YAKO tu ili tuachane.

Japo wapo ambao nikupunguza mawasiliano na wao hujiongeza na kuchuniana then ITS over.

Tatizo hata awe mzuri vipi nikisha mgonga tu basii tenaa.

Nilikua nikifikiria labda Nina tatizo kumbe ni wanaume wengii wako hivi, wakisha kula mamanzi basi hamu ya kuwa nao huisha.

Hata humu nilishawahi ona nyuzi msela analalamika "Kila nikilala na mwanamke hata kama ni mzuri vipi basi simpendi Tena""

#YNWA
 
Umenielewa visivyo.

Nilichoandika ni nimekimaanisha kama nilivyomaanisha hamna hidden meaning hapo. Ni kweli pia kipo mbali na mada ila niliongelea ni vipi openness inasaidia katika kuishinda sex rut.

Samahani kama nimefanya unione mnafiki.
Sio kwamba sikuelewa ulicho maanisha, nilielewa tena hata ya ulivyotegemea nielewe, tena najua kuhusu hilo zaidi yako.

Ila nilichomaanisha, kile ulichoandika sio sehemu yake hapa, au haihusiani na mada.

Yes ni mnafiki coz unachanganya mambo, ambapo hapahusiki na hakuna ulazima wa kuchanganya.
 
Sio kwamba sikuelewa ulicho maanisha, nilielewa tena hata ya ulivyotegemea nielewe, tena najua kuhusu hilo zaidi yako.

Ila nilichomaanisha, kile ulichoandika sio sehemu yake hapa, au haihusiani na mada.

Yes ni mnafiki coz unachanganya mambo, ambapo hapahusiki na hakuna ulazima wa kuchanganya.
Kuhusu openness kusaidia during sex rut ndivyo class tulivyoambiwa kwakua unajua kunizidi means nilichofundishwa kimekua outdated au shallow au una experience kubwa.

Sibadili maoni yako juu ya mimi kua mnafiki ila hauna sababu ya kua moody learn when to see compliments. Compliments hutokeza popote regardless mmekutana katika uzi/ mazingira gani.
 
Back
Top Bottom