Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 31,983
- 64,014
- Thread starter
- #21
Commit = Kujitoa.In short,
Mapenzi ni feelings na emotions na ndoa ni commitments, ukiwa kwenye ndoa itafika muda hisia mapenzi zitakata, yani Mme au mke wako utamuona kama ndugu yako tu, ikifika hali iyo basi una baki na commitment ya ndoa
tatizo linakujaga wengi wana picture ndoa kwenye upande mmoja tu wa mahisia na mahaba niue, wanasahau kuwa committed na ndoa zao
samahan wadau, hivi kiswahil cha neno commitment ni nini? 😂😂😂
Naassume na commitment itaangukia humu. Upo sahihi.