kbosho
JF-Expert Member
- Jun 4, 2012
- 13,029
- 6,559
hellow wana Jf..
leo nikiwa kwenye Pharmacy flan hivi hapa jijini dsm, nime wakuta kina mama wakipiga stors,
baada ya mda kidogo akaja Mwanaume akiwa na Mwanamke
waka nunuwa condom na kuondoka..
Moja wa wale kina mama akamuliza mwenzake kwa sauti ya chini, Hivi kati ya mwanamke na mwanaume wakiwa na hamu ya kugegedana, na wakigegedana nani anae pata raha zaid kati yao?... Mwenzake alimjibu kwa sauti ya Juu.... hivi wewe!! Sikio likiwa lina washa uki lichokonowa na Kidole raha unaiskia wapi?! kwenye sikio au kwenye kidole?!!.... Hapo ilibidi wateja wote tucheke...hivyo nika note kitu pale. Huenda ndio jibu kweli...
je ni kweli?...
leo nikiwa kwenye Pharmacy flan hivi hapa jijini dsm, nime wakuta kina mama wakipiga stors,
baada ya mda kidogo akaja Mwanaume akiwa na Mwanamke
waka nunuwa condom na kuondoka..
Moja wa wale kina mama akamuliza mwenzake kwa sauti ya chini, Hivi kati ya mwanamke na mwanaume wakiwa na hamu ya kugegedana, na wakigegedana nani anae pata raha zaid kati yao?... Mwenzake alimjibu kwa sauti ya Juu.... hivi wewe!! Sikio likiwa lina washa uki lichokonowa na Kidole raha unaiskia wapi?! kwenye sikio au kwenye kidole?!!.... Hapo ilibidi wateja wote tucheke...hivyo nika note kitu pale. Huenda ndio jibu kweli...
je ni kweli?...