zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
Hapa Naomba vijana Muwe wavumilivu huku nikisubiria Majibu yangu..hata washenga niliowatuma siwaamini,Kwani mrembo mwenyewe mgeni hapa janvini...
...please wait....
...please wait....
Arabela me au mwngn
Arabela me au mwngn
Me napata shaka kuhusu hz hbr za posa
Hawa washenga hawajafika huko kwenu...
Hahahahahhaahaaaa mjomba umeangukia pua
Kuachwa? Na nani?
Huamini kbisa..Me napata shaka kuhusu hz hbr za posa
Hebu nipe salam ulizowapa. Yani nishawishi
teh teh teh!! @zubedayo_mchuzi angalia na we usje ukafukuzwa!! Arabela mpokee bro wangu ustake aangukie pua!!Mh zebedayo ni kweli ningewafukuza
niliwaambia waje wakupe salaam zangu...kwani umeuchoma mtima wangu....toka ile siku ya kwanza nimekuona kwenye kijiji cha utambulisho...nilijawa na furaha sana ...na moyo uka kupokea moja kwa moja....basi nikachukua jukumu la kuwaagiza wazee waje lakini nahisi kwa ukarimu wako na urembo wako wamekuogopa....waliona aibu kutaja kazi yangu ya utangazaji kwamba mngewatoa nduki...naona mpk sasa hawajafika kwenu....mtima wangu...unakuhitajia sana kwa maisha mpka pumzi ya mwisho....