Kiranga, source ni ulipoipata news/story au Tip!. Na sio aliyepiga/aliyeandika.
Ownership ya published picture/story ina change hands after publication inakuwa ni mali ya chombo kilichoitumia.
Wewe Kiranga, ukiandika story kwa mfano:
"Rais Kikwete ni Kiongozi Legelege asiye na uwezo wa kichukua maamuzi magumu dhidi ya Ufisadi ndio maana Ufisadi inazidi Kutamalaki Tanzania!"
Daily News likiitumia hiyo story na byline yako, ikiwa quoted popote watasema Daily News lasema "Kikwete rais Legelege...", hawatasema Kiranga ameripoti Kikwete rais legelege!.
Kama BBC wamei quote jf, hii inamaanisha jf ni distinguished source ya breaking news which is a plus to jf!.
Tunapopata mafanikio kama haya, ni wajibu wetu sisi jf tupunguze viroja na kuongeza hoja za msingi when it comes to breaking news!.