Nazjaz nimeitafuta FB naona ni wahindi wahindi design. Na wewe Naz jaz ni shombe?samahani Nazjazhivi unatumia jina gani FAcebook?
To you it is...to me its not.Kwanza na mimi ndio zangu...kwanzia vidole..unyayo..miguu...shingo..masikio..lips mpaka macho naweka.Acha wanaopenda wafurahie bila wewe kusema its ridiculous maana ni kama vile unaona unachofanya wewe ni cha maana zaidi.Kitu ambacho kinaweza kua ni kweli kwako ila sio kwa kila mtu.Lizzy bby mbona mkali! Kwenye red hicho ndo nilichokifanya bana,siingilii starehe ya mtu, nimesimama pembeni nakubaki nashangaa tu vinavyoendelea. Mfano ni hiyo picha,unapiga miguu yako afu unanionyesha,i mean come. To me it's ridiculous! Me niliingia huko yakanishinda aise,Chix & sharo mils ndo wamejaa. Mwingine ukienda lazima yakushinde,to me JF is all in 1 package! By tha way nakutafuta niku poke uni add ili niku inbox kule hata ckupat nan vile?
Jamani labda mi ndio mshamba kabisa. Nilijiunga na facebook tangu mwaka juzi, huko naona kumejaa ujingaujinga na usharabaro, kila mtu anakutaka. Hapa Jf sina muda mrefu lakini nina furaha na amani, napata changamoto mbalimbali, najifunza mambo mengi na yenye manufaa.
Wadada wenzangu wao wako busy na facebook, ukiwauliza wanaenjoy nini wanasema kuchat, ukiwaambia habari za JF wanasema we Ambilikile kweli (mshamba).
Sasa mshamba sijui ni mimi au wao ambao hawabenefit kitu. Jf is a place to be, thats why niko online kanzia asubuhi hadi usiku mzito.
I am the luckiest one kuwa miongoni mwa wana wa hii familia kubwa ya JAMII FORUMS
haha haya bana we all differ in some sort bana,you like girly stuff i love manly stuff,you like Fb i don't and you can't change my mind neither can i change yours,ibaki hivo 2. Cant u feel the connection in here...To you it is...to me its not.Kwanza na mimi ndio zangu...kwanzia vidole..unyayo..miguu...shingo..masikio..lips mpaka macho naweka.Acha wanaopenda wafurahie bila wewe kusema its ridiculous maana ni kama vile unaona unachofanya wewe ni cha maana zaidi.Kitu ambacho kinaweza kua ni kweli kwako ila sio kwa kila mtu.
Well assuming im not wrong when I assume YOU ARE a man... i would be surprised if you were into girly stuff..La msingi ni kutoona chako ni bora/muhimu kuliko cha mwenzako maana huwezi jua hiyo FB inamfaidisha vipi yeye.Ummm what connection!haha haya bana we all differ in some sort bana,you like girly stuff i love manly stuff,you like Fb i don't and you can't change my mind neither can i change yours,ibaki hivo 2. Cant u feel the connection in here...
Mimi pia nilikuwa napoteza sana muda wangu fb lakini toka dadaangu aniambie nijiunge huku kule kwa kitoto tena sijarudi tena. Nafurahia sana maisha ya humu kwanza napata nafasi ya kufahamu mambo mengi sana ya msingi kabisa.Fb watu wanatongozana tu.Jamani labda mi ndio mshamba kabisa. Nilijiunga na facebook tangu mwaka juzi, huko naona kumejaa ujingaujinga na usharabaro, kila mtu anakutaka. Hapa Jf sina muda mrefu lakini nina furaha na amani, napata changamoto mbalimbali, najifunza mambo mengi na yenye manufaa.Wadada wenzangu wao wako busy na facebook, ukiwauliza wanaenjoy nini wanasema kuchat, ukiwaambia habari za JF wanasema we Ambilikile kweli (mshamba). Sasa mshamba sijui ni mimi au wao ambao hawabenefit kitu. Jf is a place to be, thats why niko online kanzia asubuhi hadi usiku mzito. I am the luckiest one kuwa miongoni mwa wana wa hii familia kubwa ya JAMII FORUMS
sure thing,hata mm i have to admit it huwa bado naingia FB sababu kuna vi2 flan kule huku cwezi vipata,kweli kule kunakutanisha watu,na other interesting things like knowing personal infos za marafiki zako which in most cases are true ukilinganisha na hapa! Ila ile situation JF kulia FB kushoto,JF ndo choice!Facebook na Jamiiforums, zote zina muhimu wake! Jf, inatusaidia kujua mambo mengi na siasa zetu za Tanzania imetoa mchango mkubwa kuwafumbua Watanzania, FACEBOOK inatusaidia zaidi kwenye mambo ya mawasiliano kimataifa kwenye mambo ya kikazi na kijamii sio wote wanauza sura huko! Ndio maana utakuta viongozi wetu na watu mbalimbali wanaoheshimika duniani wanawasiliana na watu wao! Nchi kama Misri na Tunisia wanajua faida ya kujiunga Facebook
Jamani labda mi ndio mshamba kabisa. Nilijiunga na facebook tangu mwaka juzi, huko naona kumejaa ujingaujinga na usharabaro, kila mtu anakutaka. Hapa Jf sina muda mrefu lakini nina furaha na amani, napata changamoto mbalimbali, najifunza mambo mengi na yenye manufaa.
Wadada wenzangu wao wako busy na facebook, ukiwauliza wanaenjoy nini wanasema kuchat, ukiwaambia habari za JF wanasema we Ambilikile kweli (mshamba).
Sasa mshamba sijui ni mimi au wao ambao hawabenefit kitu. Jf is a place to be, thats why niko online kanzia asubuhi hadi usiku mzito.
I am the luckiest one kuwa miongoni mwa wana wa hii familia kubwa ya JAMII FORUMS
You are very righ madam. ni kujiweka uchi na kutongozana pengine ni ulimbukeni au kukosa sehemu za kujitangaza. kibaya zaidi hawatumii inbox wanatumia WALL kuandika mauchafu yao utadhani wamerogwa. kiasi kwamba hata kama kuna mtu unamuheshimu huwezi hata kufungua face book maana ile lay out tu inatisha kwa picha na maneno machafu na usiombee akawepo mke wako karibu.Jamani labda mi ndio mshamba kabisa. Nilijiunga na facebook tangu mwaka juzi, huko naona kumejaa ujingaujinga na usharabaro, kila mtu anakutaka. Hapa Jf sina muda mrefu lakini nina furaha na amani, napata changamoto mbalimbali, najifunza mambo mengi na yenye manufaa.
Wadada wenzangu wao wako busy na facebook, ukiwauliza wanaenjoy nini wanasema kuchat, ukiwaambia habari za JF wanasema we Ambilikile kweli (mshamba).
Sasa mshamba sijui ni mimi au wao ambao hawabenefit kitu. Jf is a place to be, thats why niko online kanzia asubuhi hadi usiku mzito.
I am the luckiest one kuwa miongoni mwa wana wa hii familia kubwa ya JAMII FORUMS