Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,066
- 4,085
JF ni baba Facebook ni house girl
JF ni baba Facebook ni house girl
Jamani labda mi ndio mshamba kabisa. Nilijiunga na facebook tangu mwaka juzi, huko naona kumejaa ujingaujinga na usharabaro, kila mtu anakutaka. Hapa Jf sina muda mrefu lakini nina furaha na amani, napata changamoto mbalimbali, najifunza mambo mengi na yenye manufaa.
Wadada wenzangu wao wako busy na facebook, ukiwauliza wanaenjoy nini wanasema kuchat, ukiwaambia habari za JF wanasema we Ambilikile kweli (mshamba).
Sasa mshamba sijui ni mimi au wao ambao hawabenefit kitu. Jf is a place to be, thats why niko online kanzia asubuhi hadi usiku mzito.
I am the luckiest one kuwa miongoni mwa wana wa hii familia kubwa ya JAMII FORUMS
1.binafsi sioni kama kuna tofauti kati ya social network na jamiiFacebook na Jamii forums ni vitu viwili tofauti, kimoja ni social network(facebook) na kingine ni forum(jamii) hivyo sioni kama kuna umuhimu wa wewe kutoka kule facebook labda kama na wewe hujui matumizi yake. Naomba kuwasilisha..
Jf makes my day,nimewashawish ndugu zangu na staffmate wangu wajiunge,napata hbr fast,nilipata hbr za kifo cha prof kamuzora early than mwanae,mimi ndo nilimjuza,
zaid ya yote nikiwa alon inaniliwaza sana