Last edited by a moderator:
raha ya ugonjwa wa Mkesha ukupate wiki end, ivi litakuwa toleo la mwisho wa mwaka au wadunia?
Habari kamili:
gfsonwin atimuliwa kazi,alibambwa anamfanyia Smile mtihani wa biology fom fo.
Asprin hoi mwananyamala,alcohol overdose (read:gongo+chimpumu).
sweetlady kimbembe niniliyu zanasana na Vin Diesel,mara ya mwisho nitonye alionekana kipatimo,kilwa.
Madame B adondosha chachandu kwenye daladala la posta/buguruni,zote nyekundu.
cacico azipiga live na BADILI TABIA,eti alimbamba anaweka hirizi chini ya godoro lake.
King'asti afumaniwa na pou,alikuwa anakula uroda na hausboi wao Erickb52.
Bishanga arudiana rasmi na Mamndenyi,waelekea Acapulco kula x mass.
Zinduna aanikwa,kumbe in real life ni wema sepetu.
Yagundulika,kumbe mmiliki wa jf ni nape.
Copy: The secretaryHabari kamili:
gfsonwin atimuliwa kazi,alibambwa anamfanyia Smile mtihani wa biology fom fo.
Asprin hoi mwananyamala,alcohol overdose (read:gongo+chimpumu).
sweetlady kimbembe niniliyu zanasana na Vin Diesel,mara ya mwisho nitonye alionekana kipatimo,kilwa.
Madame B adondosha chachandu kwenye daladala la posta/buguruni,zote nyekundu.
cacico azipiga live na BADILI TABIA,eti alimbamba anaweka hirizi chini ya godoro lake.
King'asti afumaniwa na pou,alikuwa anakula uroda na hausboi wao Erickb52.
Bishanga arudiana rasmi na Mamndenyi,waelekea Acapulco kula x mass.
Zinduna aanikwa,kumbe in real life ni wema sepetu.
Yagundulika,kumbe mmiliki wa jf ni nape.
The secretary alikutoa jasho la kwenye pua eeeh.