njiwa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2009
- 13,259
- 7,108
kaka mwisho wa dunia ushafika wewe unahangaika na maudakuzz?
Wacha masihara ..SI
kaka mwisho wa dunia ushafika wewe unahangaika na maudakuzz?
Habari kamili:
gfsonwin atimuliwa kazi,alibambwa anamfanyia Smile mtihani wa biology fom fo.
Asprin hoi mwananyamala,alcohol overdose (read:gongo+chimpumu).
sweetlady kimbembe niniliyu zanasana na Vin Diesel,mara ya mwisho nitonye alionekana kipatimo,kilwa.
Madame B adondosha chachandu kwenye daladala la posta/buguruni,zote nyekundu.
cacico azipiga live na BADILI TABIA,eti alimbamba anaweka hirizi chini ya godoro lake.
King'asti afumaniwa na pou,alikuwa anakula uroda na hausboi wao Erickb52.
Bishanga arudiana rasmi na Mamndenyi,waelekea Acapulco kula x mass.
Zinduna aanikwa,kumbe in real life ni wema sepetu.
Yagundulika,kumbe mmiliki wa jf ni nape.
sie watulivu hutukuti kwenye makashfa ya hivyo, huree
Habari kamili:
gfsonwin atimuliwa kazi,alibambwa anamfanyia Smile mtihani wa biology fom fo.
Asprin hoi mwananyamala,alcohol overdose (read:gongo+chimpumu).
sweetlady kimbembe niniliyu zanasana na Vin Diesel,mara ya mwisho nitonye alionekana kipatimo,kilwa.
Madame B adondosha chachandu kwenye daladala la posta/buguruni,zote nyekundu.
cacico azipiga live na BADILI TABIA,eti alimbamba anaweka hirizi chini ya godoro lake.
King'asti afumaniwa na pou,alikuwa anakula uroda na hausboi wao Erickb52.
Bishanga arudiana rasmi na Mamndenyi,waelekea Acapulco kula x mass.
Zinduna aanikwa,kumbe in real life ni wema sepetu.
Yagundulika,kumbe mmiliki wa jf ni nape.
Habari kamili:
gfsonwin atimuliwa kazi,alibambwa anamfanyia Smile mtihani wa biology fom fo.
Asprin hoi mwananyamala,alcohol overdose (read:gongo+chimpumu).
sweetlady kimbembe niniliyu zanasana na Vin Diesel,mara ya mwisho nitonye alionekana kipatimo,kilwa.
Madame B adondosha chachandu kwenye daladala la posta/buguruni,zote nyekundu.
cacico azipiga live na BADILI TABIA,eti alimbamba anaweka hirizi chini ya godoro lake.
King'asti afumaniwa na pou,alikuwa anakula uroda na hausboi wao Erickb52.
Bishanga arudiana rasmi na Mamndenyi,waelekea Acapulco kula x mass.
Zinduna aanikwa,kumbe in real life ni wema sepetu.
Yagundulika,kumbe mmiliki wa jf ni nape.
Haahahaaa Vin umerudi??
Mbona ulipotea au ndo ulienda kuchakachua kesi ya Lema?
Mkeo wa zamani sweetlady nimemtunza vema sana
Halafu nimekununia ujue.................
ukisema nilienda kuchakachua huyo sweetlady utamfanya anikimbie tena....mahaba ya siasa yanamtawala sana
nilikuwa likizo kidogo dunia ya kwanza....kuna habari umefumaniwa kuna ukweli wowote?