JF special thread kwaajili ya Facts

The only member of the band "ZZ Top" without a beard is Frank Beard.
1599855366317.png
 
*Anushka Dixit kijana wa miaka 11 ambaye amepata alama 162 katika Mensa's IQ test ambapo amewapita hadi akina Albert Einstain na Stephen Hawking inawezekana akaja kuwa "smartest man on the earth in the future" ni genius huyu dogo*
 
*asilimia 70 ya viungo vyote vya kupikia duniani huzalishwa kwa wingi nchini India*


*Mchanga ndio rasilimali inayotumika zaidi duniani baada ya maji*


*Pua yako huonekana mda wote yaani wewe mwenyewe pua yako unaiona mda wote ila ubongo unaipuuza kwa kitendo kiitwacho "Unconscious selective attention" *
 
*William Shakespeare ndiye mtu wa kwanza kutumia matusi kuhusu wazazi*


*Mwili unatakiwa kulala masaa manne mara mbili kwa siku badala ya masaa nane mara moja kwa siku*


*Dolphins na binadamu ndio spishi pekee duniani wanaofanya mapenzi kama starehe lakini wengine wote hufanya mapenzi kwa lengo moja tu la kuzaliana*
 
*William Shakespeare ndiye mtu wa kwanza kutumia matusi kuhusu wazazi*


*Mwili unatakiwa kulala masaa manne mara mbili kwa siku badala ya masaa nane mara moja kwa siku*


*Dolphins na binadamu ndio spishi pekee duniani wanaofanya mapenzi kama starehe lakini wengine wote hufanya mapenzi kwa lengo moja tu la kuzaliana*
Mkuu kwenye hiyo ya mwisho umewasahau Nyani.. Hawa jamaa wanaenjoy kabisa wakiwa wanafanya mambo yao!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom