zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,835
Mnara wa Paris 'Eiffel Tower" ulijengwa na Engineer Gustave Eiffel
Ndio sababu uliitwa "Eiffel Tower"
Ndio sababu uliitwa "Eiffel Tower"
Kama ilivyo mfugale flyoverMnara wa Paris 'Eiffel Tower" ulijengwa na Engineer Gustave Eiffel
Ndio sababu uliitwa "Eiffel Tower"
Kama ilivyo mfugale flyover
Brain Heriel imetosha dah!Llanfairpwllgwyngyllgogery-
chwyrndrobwllllantysiliogogogoch
is the official name of a village in Wales.
View attachment 1566873
Dah si ni pusi haina shidaThere is a small village in France called "Pussy"
View attachment 1566869
Mkuu kwenye hiyo ya mwisho umewasahau Nyani.. Hawa jamaa wanaenjoy kabisa wakiwa wanafanya mambo yao!*William Shakespeare ndiye mtu wa kwanza kutumia matusi kuhusu wazazi*
*Mwili unatakiwa kulala masaa manne mara mbili kwa siku badala ya masaa nane mara moja kwa siku*
*Dolphins na binadamu ndio spishi pekee duniani wanaofanya mapenzi kama starehe lakini wengine wote hufanya mapenzi kwa lengo moja tu la kuzaliana*
Wanaenjoy lakini hawafanyi kama starehe kama sisi binadamu wao wanachotaka pale ni kuzaliana tuMkuu kwenye hiyo ya mwisho umewasahau Nyani.. Hawa jamaa wanaenjoy kabisa wakiwa wanafanya mambo yao!