The Pen
JF-Expert Member
- Dec 31, 2010
- 755
- 256
Last edited by a moderator:
Ni PM basi. Mie Kibabu wa aina. Wahi fasta.
Bado tuu. Fanya fasta nasikia huwenda akawepo kwenye baraza jipya la mawaziri
Nime m pm EMT. Sina hamu. Ujumbe wangu ulikua
-Hi Invisible, I am new member with an Erotic name who has made a home at jf. I would like you to be my friend.
Jibu lake hadi sasa I am :disapointed:
System error. Robot does not recognise sequence in msg. I repeat, sytem error zzzzzz. System failure.
Mie nilikwambia tokea jana um-PM Invisible fasta wee ukachelewa.
Ona sasa. Inawezekana tayari yuko Ikulu sasa kuchukua wadhifa ndio maana system inaleta errror.
Poor you.
Mie nilikwambia tokea jana um-PM Invisible fasta wee ukachelewa.
Ona sasa. Inawezekana tayari yuko Ikulu sasa kuchukua wadhifa ndio maana system inaleta errror.
Poor you.
You naughty boy
hujaona tumekuita kwenye uzi wa hot ana not hot?
Poor me indeed. Mimi nilikuambia ni heri nimfungulie thread ukakataa.
Unaona sasa umenipeperushia ndege kwa ushauri wako ulionifanya nikose guts?
Haya hayo yamepita, how do I treat the damage. Maana naona hadi Invisible kakugongea
foot print ina maana manenyo yako ni msingi na kweli. Nikishinwa kwa Invisible nabanana wewe!
Mbona sijaona. Sipati notifications za taggings na mentions.
Nina wasiwasi kuna mtu amezi-disable kwa makusudi.
Ungefungua thread nyingine kuna mod mmoja kwa jina RussianRoulette ana mtindo wa kuunganisha threads.
Kwa hiyo, lazima tuu angeunganisha hiyo thread na ile nyingine niliyokupa.
The damage is untreatable. Kama umeshindwa kwa Invisible mie sio second class bana.
Maana kesho kutwa atakatiza na shangingi lake la uwaziri kitaa halafu utaniacha hivi hivi.
Sitaki challenges nisije nikakuanzishia thread bure.
Nionee huruma. You look sharp najua huwezi niangusha.
What step shud be taken by Etotica? Erotica feels lost.
Nipe maujanja kwa vigezo kua wewe pia mwanaume hivo
unaweza kua na aidiya ya mimi kua na second chance.
Walau nipande hata hio shangingi, mie sijawahi toka nizaliwe.
Nishakuambia tuu late. You fighting for a loosing battle.dayme!!! Nam pm tena saizi tuone kama bado system error ipo.
Kiswahili kimekuwa advanced hivi? Faffanua please.EMT kuPM pekee sio. . .ila kumPM ummmhh, naniii kwasababu najua angependa ni kuwa Gentleman.
Nishakuambia tuu late. You fighting for a loosing battle..
Unaona sasa. Kama ungebanana na mie kama ulivyodai mwanzoni ungekuja kuniacha na challenge tuu by December 2013.Have done it EMT, He is sooo coool. Kanijibu yes he will be my friend. Na nikitaka kupanda
Shangingi it is ok kaniweka ni line, Zamu yangu ni December 2013, ila ikitokea any changes nitaambiwa. Woooorey!