Arrgggg I give up. . .ukuwadi umenishinda.
Unaona sasa. Kama ungebanana na mie kama ulivyodai mwanzoni ungekuja kuniacha na challenge tuu by December 2013.
teh teh teh. Kumbe ulikua unataka ila ulikua unaogopa challenges?
Wakati namsubiri Invisible hadi hio 2013 tunaweza lianzisha at the time being.
hilo neno la mwisho kwenye heading unajua kulitumia.
Unaligeuza geuza kama samaki kikaangoni.
Big up!
Basi mi nilikuwa naye shingo upande ili hayo mahela yake niyazoe na kupeleka kwingine........hujasikia sasa hivi kafilisika?