... 29/10/2025 mchana nilikuwa natokea Magu ndani ya mkoko wangu. ... nilipofika Kisessa, kabla ya Igoma, gari yangu ikarushiwa mawe na wahuni ... japo nilipofika kwangu Nyegezi salama, toka siku hiyo mpaka leo bado ninatii 'CURFEW' maana Mwanza pia ilikumbwa na fujo za uchaguzi!