Duh....View attachment 1772495
Mkama Sharp Chombo cha dola
Alikua na uwezo wa kukamata vibaka 30 Kariakoo na akawapangisha foleni wanaelekea kituo cha Polis msimbazi wenyewe yeye yuko nyuma yao
Uwanja wa Taifa(Shamba la bibi) kwenye mechi alikua anapanda farasi halafu ana mbwa na redio call na bastola na mabomu ya machozi kiunoni na SMG mkononi
Hawa ndio walikuwa vigegoView attachment 1772497
Dedan Kimathi(Kenya) kiongozi wa Mau Mau(Wapigania Uhuru)
Wanajeshi wa Uingereza walikua wanamfahamu kwa jina tu bila kumjua sura. Ila alivyo mwamba akaenda kuwaachia hii picha yuko na mdogo wake kwenye kambi ya Jeshi la wazungu ili wasihangaike kumfahamu( Achana na hiyo sigara kubwa ya mdogo wake)
Huyu jamaa ni nan?
kumbe toka zaman bang ilikuwa mbaya hvyo!!!?😂😂😂View attachment 1772497
Dedan Kimathi(Kenya) kiongozi wa Mau Mau(Wapigania Uhuru)
Wanajeshi wa Uingereza walikua wanamfahamu kwa jina tu bila kumjua sura. Ila alivyo mwamba akaenda kuwaachia hii picha yuko na mdogo wake kwenye kambi ya Jeshi la wazungu ili wasihangaike kumfahamu( Achana na hiyo sigara kubwa ya mdogo wake😂😂)
hapo zilikuwepo na nyingine una weka kwenye kuchaView attachment 1776478
Sio zamani sana ila zamani 😂😂😂😂
Kwanini nyinyi watu wa zamani mlikua mnafuga nywele,au ilikua ndo style matata sana enzi izo?Watu hawakuwa na vitambi kabisa
Hahahaaa sijui umewaza nn jamaa😂😂kumbe toka zaman bang ilikuwa mbaya hvyo!!!?😂😂😂