Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 73,696
- 225,406
View attachment 1776473
Mkoponwa baiskeli, redio na taa za umeme ndo motisha
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
View attachment 1776473
Mkoponwa baiskeli, redio na taa za umeme ndo motisha
Huyu wa katikati ni nani?View attachment 1776479
Tulikua vijana sasa umri umetutupa mkono......1995
Hahahahaha hujamjua tu mzee wa Kiraracha yuko na warembo
MweeHahahahaha hujamjua tu mzee wa Kiraracha yuko na warembo
Sasa hivi mnamuona jau tu kazeeka na ngozi imebabuka na TLP yake chama rafiki wa CCM enzi hizo Mrema mrema kweli😂😂Mwee
Wengine sisi watoto wa juzi..mida hiyo sijui tulikuwa tumboni.
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Alikuwa HB balaaSasa hivi mnamuona jau tu kazeeka na ngozi imebabuka na TLP yake chama rafiki wa CCM enzi hizo Mrema mrema kweli
hiv mtu mwenye akili timamu anaweza peleka picha yake kwa adui yake ambaye alikuwa hamfaham ili amfahamu?Hahahaaa sijui umewaza nn jamaa😂😂
Hahahahaaa hawa jamaa bwana 😂😂😂😂. Walikua ni miamba kwel kwel nadhani na stim za Bob Marley piahiv mtu mwenye akili timamu anaweza peleka picha yake kwa adui yake ambaye alikuwa hamfaham ili amfahamu?
Wao walipitiliza sasaUbabe na uthubutu!
Alyetengeneza hii kitu naye ana matatizo ya akili. Ameandika "msaidie mtu Mwenye matatize ya akili...."
Duuuh! Mzee wa Kiraracha - Lyatonga.View attachment 1776479
Tulikua vijana sasa umri umetutupa mkono......1995
Sasa hivi kama choo cha maguniaView attachment 1776479
Tulikua vijana sasa umri umetutupa mkono......1995
Wakulia ni Tosh
Oyaaaa huyu ni Daudi? 😲😲😲