Ballerina
JF-Expert Member
- Jun 2, 2011
- 386
- 187
tafuta miwani zenye site mirror
Kaka umeuwa..............................mi mbavu zinaniuma kwa kucheka jamani.............lol
tafuta miwani zenye site mirror
Hahahahahahahahahahahahahahahahahahahaha! Asipate shida ya kugeuza geuza shingo ee? Hahahahaha!!!!!tafuta miwani zenye site mirror
Duh Ingekuwa ni rahisi kiasi hicho nisingeleta hapa.Kwani lazima uwaangalie hayo maeneo? Mkeo ameshakwambia hapendi basi ACHA kuwaangalia.
Dah! hapa sijakupata badosasa kama mpenz wako hapendi kwa nini we unaendelea? Ushajua kuwa mumsup wako hataki, mi sioni cha kukushauri, sanasana labda nitakwambia uachane na huyo swtee wako ili uwe huru.
thanx well noted lkn sijui kama atakubali niangalie akiwepo anyway nitajaribu.Jizuie kaka. Tafuta cd ya inye ya kina majuto, Siku ukijisikia kubwiku hivyo vinyeo vya watu jifungie ndani uangalie cd.
Kwa hiyo kaka me nina dhambi zaidi ya 1000 maana nimewaangalia wengi. hizo juhudi ndo naziitaj kama zipi mkuu?Hiyo inaashiria kuwa una katabia ambacho mwenza wako hakipendi. Kamaumeshindwa kujenga mazingira akubaliane na hali yako, fanya kila juhudi uachane na tabia hiyo. After all, ukimwangalia mwanamke kwa kumtamani, ni kama umezini naye!
This is the joke of the yeartafuta miwani zenye site mirror
Gud technique am gona try it thanx dada.Pole sana kwa ugonjwa huo ila unaweza kuisha kwa wewe kuyayoea hayo makalio, na ukiwa nae jikaushe bhana. Nilishawah kuwa na mpenzi ako na tabia km hzo ila yeye alipenda kusifia makalio na miguu minene, nilikuwa nakasirika kweli ila nilianza kuzoea nami nikawa namuonyesha na kusifia km hajaiona, sasa ikawa inamkera yeye then 2kakubaliana tusisifie tena makalio na miguu ya wadada na tabia ikakufa.
Muache nyumbani we vipi muongozane kwani nyie kumbikumbi.Wanajamvi naomba msaada wa kisaikolojia kila siku ni ugomvi na mwenza wangu eti kisa kwanini naangalia sana makalio ya wadada.
Jana amenianzishia tifu la ajabu barabaran baada ya kumuangalia sana dada aliyepita mbele yetu na kusababisha kukoswa kugongwa na gari. Ukweli ni kwamba yule dada alikuwa amefungasha vizuri kwa nyuma na hata alipokuwa akitembea alikuwa ana vibrate kwa nyuma me sikuwa na jinsi nikamwangalia ndo ikaleta shida. Nifanyeje ili niepukane na Ugomvi wa kila siku japo nimeshakuwa addicted.
Wanajamvi naomba msaada wa kisaikolojia kila siku ni ugomvi na mwenza wangu eti kisa kwanini naangalia sana makalio ya wadada.Jana amenianzishia tifu la ajabu barabaran baada ya kumuangalia sana dada aliyepita mbele yetu na kusababisha kukoswa kugongwa na gari. Ukweli ni kwamba yule dada alikuwa amefungasha vizuri kwa nyuma na hata alipokuwa akitembea alikuwa ana vibrate kwa nyuma me sikuwa na jinsi nikamwangalia ndo ikaleta shida. Nifanyeje ili niepukane na Ugomvi wa kila siku japo nimeshakuwa addicted.
aaah aaah aje kwangu nitampatiaANAUDHI,WEWE UMEOA MPENDE MKEO HATA KAMA NI MBAYA NDIO WAKO HUYO,UNALETA NJAA ZA KIDUWANZI HAPA WEKA TINDIKALI MACHONI USIONE MAKALIO TENAalaaaaa''