Napenda wabeba box wanavyoleta post zao wanauchungu sana kuliko tuliopo nyumbani ila wananikera waoga sana hawapendi wajulikane
Zawadi atawapa nani, wakati wote akina sisi njaa tupu
Ni katika kupambanua tu ndugu, yupi mbeba box, yupi mkulima......nk
Haya weeee. .Usisahau hii ni chit-chat, hakuna cha what next.
Changia kama unaye
Tukimaliza list hii tutaendelea na list ya "wala vumbi" wa Unga limited LOL
sifa za kijinga!!
Mboni sisi wabeba kuni mashambani mnatusahau wajameni!?
Inaonekana wapo wengi hapa, hebu tujitaje / tuwataje :biggrin:
Mi naanza na "Gaijin", mkuu vipi box la Japan linalipa?:A S wink:
(username imekutoa mkuu)