Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 37,216
- 78,155
...naikumbuka DECI sababu jirani zangu waliingia kichwa kichwaPole sana.
...naikumbuka DECI sababu jirani zangu waliingia kichwa kichwaPole sana.
...naikumbuka DECI sababu jirani zangu waliingia kichwa kichwa
...naikumbuka DECI sababu jirani zangu waliingia kichwa kichwa
...mdai Tunda la mti la kati...atarudisha mwenyewe hela..Niko tayari ila naomba tu kwenye kundi langu asiwepo mwanamama,huwa naona aibu kumdai...........
...mdai Tunda la mti la kati...atarudisha mwenyewe hela..
DECI At Work.
Lete kidhibiti ubaoni.
Au me Bakabaka watu?
He!
PM zinaficha mengi sana,kumbe huwa mnamjadiligi Madame B?
Na umenifumbua masikio na macho kuwa kumbe kuna watu hawataki kuniona?
Sorry jamani hakuna mtu yeyote humu JF anaeniweka Mjini
Enough!!
hahahah naona watu wanakupanda kichwani...lol
Hujambo wewe?
Karibu tule Gambe
mie wa afya rafiki...mmh kuuliza si ujinga, gambe ndio makitu gani tena wangu?
...hapo sasa akili kumkichwaSio kwamba ndio nitakuwa nimemrahisishia kulipa na burudani juu,kusha ananilipisha zaidi kwa huduma aliyotoa..??
Anaye leta maskhara kwenye pesa ya mtu jua siku zake za kuisha zitakua fupi kama maisha ya funza. mia
Lete kidhibiti ubaoni.
Au me Bakabaka watu?
He!
PM zinaficha mengi sana,kumbe huwa mnamjadiligi Madame B?
Na umenifumbua masikio na macho kuwa kumbe kuna watu hawataki kuniona?
Sorry jamani hakuna mtu yeyote humu JF anaeniweka Mjini
Enough!!
My friend hata hamjafikia muafaka kama suala hilo mmeafikiana au laa umeshaanza kupiga biti/mkwara. Kazi mnayo.
figganigga fanyeni kweli, sisi huku kwetu tuna umoja mpaka tuna account na mzinduzi wetu alikuwa marehemu REGIA MTEMA pale GOLDEN ROSE HOTEL. Pia ningewashauri kuweni na umoja wa ukweli ambao mkitaka mnakuwa na utaratibu wa kukopa just as SACCOS.
wale wa dar mie ndo mweka hazina.