Jf members,i need your prayers

jockey emmanuel

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2011
Posts
330
Reaction score
50
:happy:HALOO....SOON IM GOING TO START MY TERMINAL EXAMS....JF MEMBERS I NEED UR PRAYERS....KAMA TUNAVYOFURAHIA KUTOK ABT DIFFERENT THINGS IN JF...BASI TUFURAHIE MAFANIKIO YANGU AMBAYO YATATOKANA NA SALA ZENU....MATOKEO YATATOKA TRH 4 JUNI....
 
Tunakuombea kwenye papers zako ufanye vizuri.Kila la heri.
 
Kila la Kheri, Jambo la msingi usipanic maana watu wengi hushindwa mitihani Just kwa kupanic anapokuwa amekabidhiwa paper, read all the questions careful and start with easiest one
 
Tuko pamoja sitakusahau katika maombi yangu leo ,
 
ah ah ah exam fever eeh pole sana dogo,lkn imeandikwa"ombeni nanyi mtapewa,tafuteni nanyi mtaona,bisheni nanyi mtafunguliwa"pia wanaendeleza,"ishike sana elimu usiache iende zake"na huu hapa "usipende usingizi usije ukawa maskini"nadhani umenielewa mdogo wangu,upo kwenye maombi yetu maana tunaombea nchi yetu pamoja na wananchi wake lkn pia kaza buti usitegemee tu sala kufanya mabadiliko lkn na ww pigania maisha yako,
Ngoja niishie hapa usijesema sista mnoko bureeeeeeeeee!
Nakuombea lkn
 
Pamoja na sala zangu lakini napenda nikuonye kuwa kamwe usitumie vi-phantom... no kudesa please
 
:happy:HALOO....SOON IM GOING TO START MY TERMINAL EXAMS....JF MEMBERS I NEED UR PRAYERS....KAMA TUNAVYOFURAHIA KUTOK ABT DIFFERENT THINGS IN JF...BASI TUFURAHIE MAFANIKIO YANGU AMBAYO YATATOKANA NA SALA ZENU....MATOKEO YATATOKA TRH 4 JUNI....

Hapo hapana... mafanikio yako yatatokana na Juhudi zako binafsi, yaani ulijiandaa vyema? ......
 
nadhani ufanye bidii sana katika kujiandaa na pia maandiko yanasema ' Nitawafanya kichwa na wala si mkia' so jiandae vizuri na sali sana........tutakuwa pamoja katika maombi
 
Kasome kwanza, kisha tutakuweka kwenye sala zetu. Sala pekee hazitokusaidia,...
 
nadhani ufanye bidii sana katika kujiandaa na pia maandiko yanasema ' Nitawafanya kichwa na wala si mkia' so jiandae vizuri na sali sana........tutakuwa pamoja katika maombi
Kumbe huwa una'tune RADIO SAFINA kwenye bajaji yako eeh?...hongera best!

Mtahiniwa, tuko pamoja tunakuombea, lakini kesha ukisoma na kukariri pale utakapokosa kuelewa(hii ni Bongo bana)!..ha ha haaa!
 
Tuko pamoja mkuu nitakuombea ila jiandae vizuri!
 
All the best, tutakuombea lakini kama hukujiandaa ni kazi bure
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…