JF members awards (no cash money) only recognition..!

JF members awards (no cash money) only recognition..!

Halina shida ila ni hofu yako tu
😂😂 Hofu lazima. Fikiria kuna mtu anahitaji ushauri, halafu unamshauri inbox mpaka mnafahamiana physically. Mnakubaliana kqbisa itakuwa siri yenu. Then jf unaitwa msemachochote, lazima awe na mashaka. Hii id mpya imenipa fursa ambazo nikizidisha uaminifu, kuna mahala nitafika na zaidi
 
[emoji23][emoji23] Hofu lazima. Fikiria kuna mtu anahitaji ushauri, halafu unamshauri inbox mpaka mnafahamiana physically. Mnakubaliana kqbisa itakuwa siri yenu. Then jf unaitwa msemachochote, lazima awe na mashaka. Hii id mpya imenipa fursa ambazo nikizidisha uaminifu, kuna mahala nitafika na zaidi
Narudia kusema kuwa hiyo ni hofu kwako.

Mimi ni miongoni mwa watu niayejuana na watu PM na nje ya JF physically, na tumenufaika pakubwa kwa kujuana kule...

Yaani tukiwa nje ya JF tuna kuwa really kama kawaida na kuacha life la JF. Tukiwa hapa JF tunaishi life la ki JF pia. Kiufupi tumeweza kutofautisha life la nje ya JF na JF.

Sent from my TECNO-Y6 using Tapatalk
 
.
IMG_20200101_054130_849.jpeg
downloadfile-28.jpeg
rating-composition-of-2020-year-texts-vector-21073001.jpeg


Jr[emoji769]
 
Pole sana sana hebu cheki hii inaweza kukusaidia
Mshana Jr asante! Ila ktk kumbukumbu zangu hakuna mwaka nimeupokea kwa furaha na amani kama huu japo tarehe 31 Desemba 2019 mchana, nlipata mkasa ulioniumiza sana sana.

Hebu tia neno kuhusu hili.

Jr[emoji769]
 
Back
Top Bottom