kizibo1
JF-Expert Member
- May 14, 2015
- 1,187
- 765
NN acha kuniadhirisha bila sababu bana! lol
Unakumbuka ulisema nimpe Maxence? Mbona nilimpa kama ulivyoagiza? Muulize au Mdai receipt.
Hata marehemu Regia (RIP) alisema ziingie mfuko wa JF nikamkabidhi Maxence. Mimi muadilifu bana si ndo maana dingi wa JEC.
Halafu mlifungana kisha ukatumia ID nyingine kujipigia. Safari hii kamati iko makini.
Lakini tuko pamoja. Huwezi kuchangia katika zawadi?