secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 21,127
- 43,057
Nataka nishuhudie ugomvi wako na Icebreaker.
Serengeti Apple 😋 tatu tu.Bia gani mchumba 🤣
Mkuu, yaelekea kazi ya kuwaosha wazee hapo Glasgow inalipa, maana si kwa tambo hizi 🤔Hahahahahaaaaa dogoo ni lini umejifunza hizi tabia mbofumbofu? Ukataji wako mauno ndo unapelekea haya mdogo wangu. Yani unamtukana kaka yako aliyekuzidi kila kitu?😆😆😆😆
secretarybird Beira Boy
Sijasema unatamba na pesa wewe kapuku nimesema unajifanya una pesa kumbe ww ni kapuku. Unakunywa mbege alafu unakuja kutukana wapambanaji humu🤣🤣 hapana bwashee, ila dogo kadai natamba napesa ila sina 😃😃 huu ududu wa bia hapa nakunywa ,sijui nimepata wapi🤣
Sasa nitalegezaje Ubongo jamani.Hahaha leo sipo rada kesho nipe bei ya hizo bia🤣
Kapuku ewe akili za mnywa mbege hizoo.Bwashee mimi nakula pombe , tena nalipa pombe za gharama sana🤣
Kuwashauri vijana waache kukaa kwa dada zao, kuna siku dada ataumwa halafu shemeji atataka unyumba kwa ndugu yake anayemlisha kila sikuHii post haina maana yoyote kabisa.
Sasa mleta mada anataka tu jifunze nini kwenye hili bandiko?
Mna shida sana enyi wamatumbi msio na maisha mazuri. Kazi kukaa makomwe na kufatilia kila step za watu. Mwanaume mzima unaandika nini hiki?Kuwashauri vijana waache kukaa kwa dada zao, kuna siku dada ataumwa halafu shemeji atataka unyumba kwa ndugu yake anayemlisha kila siku
Kama huelewi nilichoandika basi nitarudia TenaMna shida sana enyi wamatumbi msio na maisha mazuri. Kazi kukaa makomwe na kufatilia kila step za watu. Mwanaume mzima unaandika nini hiki?
De gunner ana damu ya kunguni! Uzi umegeuka wa kumchamba!Mtu amejoin JF 2017 una muita mgeni?
Kwahiyo wewe uliyejoin 2021 ndio mwenyeji kumzidi?
Au ulitaka kujilinganisha nae kwa ile ID yako nyingine?
Alishazingua tangu kitambo halafu bado ni kijana anayependa matatizo sana, acha tumpelekee moto shimoniDe gunner ana damu ya kunguni! Uzi umegeuka wa kumchamba!
Hahaha, si unaona akili za wamatumbi wa nawaza kuchambana tu, alaf eti limtu linakuja kulilia katiba mpya. Hivi ni nani aliye waroga ninyi?De gunner ana damu ya kunguni! Uzi umegeuka wa kumchamba!
Kikubwa heshimu heshima asiekuheshimu usimuheshimu.Ukija na akili yako ya kiyumbu humu unakalishwa kilaini sana 🤣
Humu unatakiwa ukae kiaskari , hakuna fala ila mafala wapo ila wakielewa game wana badilika haraka.
Humu kuna wasomi, matajiri , na sisi wenye kubadilisha mlo na bia ya kujimudu hapa nipo 🤣.
Humu kuna wale ni wasomi wanaokaa kwa shemeji au wazazi ila walichobakiwa nacho ni kujiamini tu , hapa kuna wimbi😃
jf ni yetu sote 🤣 kwa sasa nimezima kwa pombe mabwashee😃😃
Wewe umpeleke nani shimoni boghus! Kwa akili gani ulizonazo? Unaandika michambo dume zima ndo nyie future Anko T'sAlishazingua tangu kitambo halafu bado ni kijana anayependa matatizo sana, acha tumpelekee moto shimoni