Sanctus Mtsimbe
R I P
- Jul 14, 2008
- 1,820
- 1,031
- Thread starter
-
- #61
Sanctus,
Nitakutumia Jina la mtu anayeweza kuwatengenezea site nzuri, ngoja nim-contact kwanza ili anipe link za site alizotengeneza uziangalia kwanza!
Nimefurahi kwa hili.
Na ndio maana katika post zangu kama culiangalia nilikuambia ya kwamba nimedownload almost kila kitu katika site ya TPN maana nataka kusoma na kuelewa na yale mapungufu ambayo nadhani ntawa nimeyaona nina hakika kabisa utanisaidia na kunifanya nikaelewa na kufanya mimi na wewe twende sawa.
Mpaka sasa nasoma na nahitaji kupata msukumo kutokana na yale ambayo nayatazama na kuyafikiria kwa fikra zangu mimi, kisha Mh Rais wa TPN utanisaidia kuboresha Fikra zangu butu juu ya Malengo ya TPN!
Nina uhakika TPN haiwezi kuwa saa iliyosimama...tofauti na Asasi nyengine zisizo za Kiserikali natumaini ya kwamba kuna Mwanga at the end of the Tunnel maana mpaka sasa ninaendelea kuwa katika kiza husiana na TPN. Nikikamilisha which i hope itawa mapema sana ntawasiliana na wewe official ili unifafanulie zaidi. Na natumaini ya kwamba one to one, eye to eye itawa informative zaidi.
One last thing ni kwamba, Katiba zinatoa muongozo katika asasi zote, za serikali na zisizo za kiserikali lakini wanao-determine direction ya hizo asasi na namna ambavo zinafanikisha malengo zake na kwa njia zipi ni Viongozi.
Nawakilisha.
Naungana mkono na Mtsimbe katika kuomba juhudi za pamoja kuleta maendeleo ya Tanzania. Pia sipingi wazo la kukutanisha wanataaluma wa kada tofauti katika mtandao mmoja, kwani hii husaidia kurahisisha mambo..... Wazo ambalo naona ni gumu kidogo ni lile la kuingia katika mtandao huo wale wafukuaji mambo hodari wa JF.... hawa wanahitaji kubaki hukohuko waliko, vinginevyo future ya JF itakuwa at stake. Nadhani si kila mtu, especially mafisadi na watu wanaofanana na neno hili hufurahia JF, hivyo kwao sehemu ya kwanza kwenda kujua who is who in those hot issues za JF itakuwa katika mitandao kama hiyo. Angalizo lingine ni kwa wana TNP kuboresha site yenu, kwani wenyewe mmesema kuna wanataaluma mbalimbali, pia muwe na objectives ambazo ziko specific. ni hayo tu!
Originally Posted by gm
Sanctus,
Nitakutumia Jina la mtu anayeweza kuwatengenezea site nzuri, ngoja nim-contact kwanza ili anipe link za site alizotengeneza uziangalia kwanza!
GM, nitashukuru sana Mzalendo. Kwa kweli hata mimi binafsi suala la Website bado sijaridhika nalo . . . . You know first impression inaweza kumpa mtu yeyote picha ya vile ulivyo. Kwa TPN website it should not be that way.
Thank you my bother (I hope so . . . ) for your support on this matter.
Lakini viongozi wengi wa NGO's na serikali huwa wanatamba kwamba huwa hawana uhusiano na vyama vya siasa lakini ikifika wakati wa uchaguzi ni hao hao huwa tunawaona wanakimbia kuchukua fomu za kugombea katika vyama. je hizo kadi za uanachama huwa wamezipata lini?
Utangundua wengi ni wanafiki tu. Ukitaka kujua unafiki wao utasikia wanasema wameombwa na wazee huko majimboni. Ebo hivi wazee wa majimbo ndiyo wanawakilisha mawazo ya jimbo zima?
Kufuatana na Katiba ya TPN mtu yeyote anaweza kujiunga na TPN ili mradi tu awe na mawazo ya kimaendeleo (Positive Attitude).
Kuhusu membership, kwa uhakika membership iko open kwa Wanataaluma wote waliopo ndani na nje ya nchi. Na hata sasa tunao wanachama ambao wako nje ya nchi. Nadhani itabidi tuliangalie hili kimaandishi tuliboreshe vipi bila kuleta mkanganyiko.
Lakini viongozi wengi wa NGO's na serikali huwa wanatamba kwamba huwa hawana uhusiano na vyama vya siasa lakini ikifika wakati wa uchaguzi ni hao hao huwa tunawaona wanakimbia kuchukua fomu za kugombea katika vyama. je hizo kadi za uanachama huwa wamezipata lini?
Utangundua wengi ni wanafiki tu. Ukitaka kujua unafiki wao utasikia wanasema wameombwa na wazee huko majimboni. Ebo hivi wazee wa majimbo ndiyo wanawakilisha mawazo ya jimbo zima?
Naomba tena ufafanuzi.
Nisichotaka kuruka kukisema kabla sijapata ufananuzi mzuri ni kwamba wewe Raisi wa chama cha watu wenye digrii na mashirika ya biashara unashindwa kueleza hata qualification za uanachama. Utawezaje kufanya makubwa zaidi?
Kwamba unataka kuonekana kwamba ni cha wote wakati sivyo.
Sitaki kuruka kusema kwamba wewe sio mkweli kabla hujafafanua.
Unasema chama chenu cha wenye digrii na mashirika ya biashara ni cha wote kwa sababu kuna lile kundi la tatu, la honorary membership. Hiyo honorary membership unapewa kwa heshima au yeyote anapata? Kama yeyote anapata basi clause ya qualification za uanachama kwa nini ina neno "uhitimu"? Ni katiba yenu au wewe Raisi ndio hau make sense?
Raisi naomba utumie nafasi nyingine tena kufafanua ni nani anakubaliwa kundini mwenu.
Au, ahidi kwamba maneno matamu yako mlisahau kuyaweka kwenye katiba na mtayaweka. Isipokuwa kama neno la Rais ndio Katiba.
Assuming wewe ni Rais.
Maana umesema tuwasiliane kupitia barua pepe president@tpn.co.tz
Kwa mtaji wa hiyo email address, unaweza ukawa Katibu au karani mpokea barua wa Rais.
Naomba jitambulishe wewe nani kwenye chama cha waliohitimu na Mashirika ya Biashara.
Tena.
The current leaders of the TPN Executive Committee were elected on 29th July 2007 at the AGM. The Executive Committee then appointed the Matron and Trustees
1. Executive Committee Members
Sanctus Mtsimbe – President (B.Sc; M.Sc.); Business Development Manager; SimbaNET
Method Bakuza – Secretary General (B.Com); Director; Mayo 1999 Co. Ltd
Ms. Consolata Maimu – Treasurer ((Adv. Dip; Post Grad. Dip; MBA); System Auditor; TASAF
Jackson Mayunga – Member of the Executive Committee (B.Sc; Post Graduate Diploma); Head of ICT; Stanbic Bank
Ms. Janet Mbene – Member of Executive Committee (Adv. Dip; BA; MA); Director & Lead Consultant; SME in Action; DSM
Hamza Kondo – Member of the Executive Committee (2 Diplomas; Post Graduate Diploma); President; Tanzania Journalists Association, MD Sena News Agent
Ms. Rachel Mwalukasa – Member of the Executive Committee (B.Com); Senior Retail Manager; Barclays Bank; DSM
Ms. Aiwerasia Ngowi – Member of the Executive Committee (B.Sc; M.Sc; PhD); Senior Principal Research Scientist; Tropical Pesticides Research Institute; Arusha
Dr. Donald Olomi - Member of the Executive Committee (Bachelor of Commerce (Honours), an MBA and a PhD in business administration from Tanzania, Canada and Sweden respectively.); Senior Lecturer and Director of the University of Dar es Salaam Entrepreneurship Centre (UDEC).
Hon. Dr. Batlida Burhani - Member of the Executive Committee (B.A (Public Admin. & International Relations, M.A (Development Studies), PhD (Planning Studies). She is a Member of Parliament and Minister of State, Prime Ministers Office
Ndugu Mtsimbe,
Mimi nina swali ambalo ni very serious. TPN inawezaje kuwasaidia wabunifu -- inventors na innovators -- ktk ku-implement ubunifu wao? Kwa mfano, kuna mtu ninayemfahamu ambaye ana inventive idea khs nishati m'badala, lkn hana pesa za kuiendeleza wala kuilipia hataza (patent) wazo lake hilo. Hili likiwa km wazo linaloweza kuleta mabadiliko bora nchini; je, TPN inawezaje kuwasaidia watu km hawa?
Mzalendo Mchukia Ufisadi nashukuru sana kwa angalizo lako. Ni kweli baadhi ya watu wanafanya NGO kama ngazi ya kupatia madaraka ya kisiasa.
Napenda kukuhakikishia kuwa TPN haina dini, kabila, chama wala jinsia ingawa wanachama wake wako huru kufuata wanachoona ni bora.
Mimi binafsi si mwanachama wa chama chochote cha kisiasa na wala sijawa na mwelekeo huo. Penginepo ni kwa kuwa napenda sana kuangalia OUTPUT kuliko siasa za vyama. Ningependa sana kuona kuna demokrasia ya kweli inayozingatia ukweli na uwazi baada ya wananchi kupewa elimu ya kutosha na kisha kuachwa wachague wanaachotaka kwa uhuru wao.
TPN ingawa haina chama lakini ina malengo ya kuwaondolea wanachama wake umasikini kwa kutumia fursa zilizopo. Hebu na tuungane wote ili kuweza kufaanya sehemu yetu. Mafanikio ni dhahiri kama tukiungana na kuwa na nia ya kweli.
Ningep
Hata mimi nina rafiki yangu anakipaji kikubwa cha designing mnaweza kumsaidia?he is a great painter and drawer.he designs very good clothes na shoes infact one of his designs Kelly Rowland aliinunua.
Nafikiri kwa maelezo niliyotoa katika page ya TPN kwenye site inaonesha kuwa Sanctus ndiye president. Mengine atakujibu.....
Asante kwa maelezo Mazuri..
Ahsante. At least now kidogo umeandika kwa hata mtu akisoma kidogo anajua TPN inasimama for what. But mbona mko 'Vague' mno. Malengo ni mengi mno yaani ni kwamba its unclear, kwangu mimi inakuwa ni shida sana kupata Muelekeo kamili wa Mtandao huu.
The way things are going is like TNP is trying to do everything the just like the American way of Shooting, "Firing Enough Bullets and Hoping to Hit the Target" LOL....
Hongereni sana kwa hili. Lifanikiwe.
Je na mafisadi ambao wameshathibitika kwa asilimia 80 wanaruhusiwa kujiunga TPN? je kuna sheria zozote za kuhakikisha mnawafilter out members wanaojihusisha na ufisadi? Inaonyesha kuwa wengi wa mafisadi ni graduate an corporate elites.
Bandugu samahani kama nitakuwa nimechelewa ku-comment kwenye mada hii.
Karibu sana Ndg Mtsimbe na tunashukuru kwa ukaribisho wako, however nasikitika kuwa TPN walini-disappoint the first day i tried to contact them/you rather. One might say you or your collegues were busy......but there was no sense of acknowledgement whatsoever............nakumbuka ilikuwa mkijitayarisha na mkutano na professionals (or something like that) pale Dar.......you had posted your agendas and i had my comments sent to you all........well sitaki kusema kwamba ilikuwa ni dharau...........kwa kuwa ilikuwa mara ya kwanza.
........The point is please try to respond to people's comments.........otherwise binafsi baada ya hapo sikuwa hata nataka kusikia chochote kuhusu TPN...............anyhow karibu JF.............na tuelimishane