Roger Sterling
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 13,012
- 23,613
Mmmh sio kweli buana hizi smartphone zimekuja kuondoa nyege za watu kwakweli
watu wapo bize ni kusmartphonika tu
Haha Hapana bana. Huwezi kuzubaishwa na 'teknolojia' ukampuuza mtu, achilia mbali mpenzi/mke. Ni ngumu sana, labda kama umelazimishwa kuwa nae.