JF imenitia hasara na kuhatarisha ndoa yangu

JF imenitia hasara na kuhatarisha ndoa yangu

Umesahau na maneno....I hate you.
Au unamuuliza hobby yake anakujibu "ooh baby I like swimming, shopping and reading novels", wakati hata maji ya Bahari/pool hajawahi kukanyaga, na hata kusoma huwa anaishia magazeti ya udaku!!

Huwa napenda sana sinema za masista duu wa Kibongo, wanaishi Dunia yao

Wanapenda maigizo sana wadada wa siku hizi
ukiwaendekeza anakutia hasara
sasa mtu avunje simu kisa kakasirika si ujinga kabisa..
 
Mshuza2

Angalia jf ukiwa peke yako mbali na mkeo. Anapohitaji attn yako uwe tayari . Ni rahisi na ni wajibu wako kama mume.
 
Last edited by a moderator:
Wabongo tunaujinga na mambo ya smartphone.
Mmekutana sehemu kwa maongezi mawili matatu ila kila mtu yupo busy na simu yake.
Ni sawa na wewe unashindwa kujizuia kutokuingia jf na mambo ya msingi.
 
Bado haujawa addicted na JF wewe ati unasema "haipiti siku hujachungulia JF'....kuna watu huku haipiti dakika 5 hajachungulia JF
 
Haha Hapana bana. Huwezi kuzubaishwa na 'teknolojia' ukampuuza mtu, achilia mbali mpenzi/mke. Ni ngumu sana, labda kama umelazimishwa kuwa nae.
Oooh mi nakuambia nna uhakika hapanchezea smartphone hapa jf, pale magrouo 9 ya whatsapp sita kati yao we ndo admin huku rahatupu blog we acha tu papuchi haina nafasi hapo kama ni msosi utapoa au hauliwi kabisa
 
Oooh mi nakuambia nna uhakika hapanchezea smartphone hapa jf, pale magrouo 9 ya whatsapp sita kati yao we ndo admin huku rahatupu blog we acha tu papuchi haina nafasi hapo kama ni msosi utapoa au hauliwi kabisa

Hahahaha dah! umetisha hapo. Bongo nadhani ndio kunaongoza kwa kuwa na whats-app groups. Siku hizi hata uki-like tu post ya mtu humu, anakucheki PM akuunge kwenye group.
 
Nashukuru Mungu mke wangu ndio alinionyesha na kunifungulia ukurasa wa kuwa jf.
 
balancisha muda wa kuwa JF na mkeo.........ni dharau sana unapokuwa unazungumza na mwenzako yeye kashikilia simu hana habari na unachozungumza
 
Alivyo vunja simu ukanunua ingine sio?
ukwamwambia babe sorry ...sirudii tena?

Waswahili siku hizi mna mapenzi ya kuvunja vitu?
bado kuna siku atavunja tv akiona unatazama video ya shilole
au kuvunja vioo vya gari sababu unatazama wadada wanao pita nje

Napendaga sana comment zako tu The Boss
 
@galadudu kuna opportunity huku ya mke wa mtu.. mwenye mke yuko bize na kusmartifonika.. njoo utibu ndoa ya jamaa.
 
Hii na mimi imenikuta, ki ukweli kwa siku almost 6 hrs lazima niwe JF,

Simu ikiisha chaji nanuna kabisa, ila nimeanza mkakati kwa kuweka muda wa kuwa nafamilia

Maana watoto wanataka cheza na dingi mi busy vibaya full kucheka na JF mara nimenuna,

JF tuwe tunapewa time limit na mods per day
 
Hahahaaa... Mkuu tubadilishanw wanawake...
Mimi niko addicted sana na wanawake adi wananilazimisha nije JF... teh
 
Wakuu heshima kwenu

Ni kwa muda sasa nimekua mwanachama wa huu "mtandao" pendwa JF.Kilichonifanya nije mbele yenu wadau ni huu uraibu "addiction" ambao nimeutengeneza kutokana na hii JF.

Imefika hatua ni ugomvi na wife eti sina muda nae niko busy na simu muda wote.Kuna siku alivunja simu yangu baada ya kuona niko busy na simu anaongea simsikilizi.

Sio siri wadau haipiti siku bila kuchungulia majukwaa mbali mbali either kama mgeni au member kamili.Nimezoea JF kama sehemu pekee ya kupata vitu vipya hata TV sina time nayo.

Nadhani wadau tunaweza kushauriana angalau huu uraibu upungue,ndoa naipenda jamani.

Mi sikubali kuvisit kama guest lazima ni-log in wewe.😀😀😀😀😉
 
niliona nikae kimya mkuu.....kabisa anathubutu kusemewa maneno kama hayo na mkewe then anakuja hapa kwa mbwembwe...


Acha uswahili wewe! hapa kila mtu yuko huru kuelezea hisia zake..na ndio maana watu wanashauriana..acha akili za kushikiwa! kama huna cha kuchangia kaa kimya...
 
[FONT=arial [USER=232191]Galadudu[/USER] kuna opportunity huku ya mke wa mtu.. mwenye mke yuko bize na kusmartifonika.. njoo utibu ndoa ya jamaa.[/FONT]

Subiri nikusaidie kumwita vizuri Galadudu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom