JF imenitia hasara na kuhatarisha ndoa yangu

JF imenitia hasara na kuhatarisha ndoa yangu

Acha uswahili wewe! hapa kila mtu yuko huru kuelezea hisia zake..na ndio maana watu wanashauriana..acha akili za kushikiwa! kama huna cha kuchangia kaa kimya...

hapo wewe umechangia nini......
 
Hii na mimi imenikuta, ki ukweli kwa siku almost 6 hrs lazima niwe JF,

Simu ikiisha chaji nanuna kabisa, ila nimeanza mkakati kwa kuweka muda wa kuwa nafamilia

Maana watoto wanataka cheza na dingi mi busy vibaya full kucheka na JF mara nimenuna,

JF tuwe tunapewa time limit na mods per day

kuns kipindi nilikuwa hivyo mpaka nikaweka post kwenye jukwaa la Advice, lakini nimegundua kuwa sikuwa busy sana maana siku hizi niko busy mambo mengi jf naipa mda mchache sana, naweza kulog in nikasoma tu yaliyomo bila kukomenti kitu ndani yz dakika 5-10 natoka, baadaye tena dakika 10,labda na usiku ndio huwa natumia mda kidogo.
na ubize wenyewe wala sio wa ndoa, siku nikioa ndio kabisaa nadhani nitapunguza zaidi mda wa kuwa online,...
 
Cha msingi uza hyo smart phone jichukulie tochi tu hutagombana na wifi
 
Back
Top Bottom