JF Hip-hop frestyle battle

JF Hip-hop frestyle battle

Aah mziki shit dalili hizi ni kazi na uwazi wa wagosi,

Na mweusi mjinga aliyejisifu ana kichwa bila utosi,

Achana na mbuzi aliyejisifu akilenga hakosi,

Mwana wetu akasonga na mkasa mkali wa bosi,

Na yule mwana akaflow kwa hisia huku akimuiga Ross,

Leo kasanda anaruka ruka kama gemu la kwenye kochi,

Kaja huyu dogo anamuita Ney shosti, hana tofauti na mbuzi wa uzi wa vijana wa dar na makoti,

Freestyling stuttering kando mistari so soft, nafreestyle hard kwenye msitu wa vina nipo lost,

Kama unaiweza shughuli I dare you niquote
 
Hii misitari ya humu yote ninaifanyia upembuzi yakinifu nije nitoe ngoma
 
Mistari mikali tishio kama Kibiti kwa raia mwema,

Mistari yako siyo hadhi ya silva kwa tozi Nyangema,

Mzungu mtu shit alisema Remi hadi akautukana wema,

Mabalaa ya acacia dokta Remi alishayasema, mwambieni magu pema ni pema ukishapema si pema tena,

Dili iliondoka na Chenge, Mhongo na jaji werema, mwana pepa two ikamshinda amesepa tena,

Nchi yenyewe galasa mwana unataka kulamba dume,

Life liko shit unakazaniwa jitume, pambana na hali yako yule msukuma msukume
 
Hii misitari ya humu yote ninaifanyia upembuzi yakinifu nije nitoe ngoma

Daby Daby
That's my name bro/

You'll shabies
I represent 1st color in rainbow/

Mnamake noise
Wakati nyie light weight/

Mnafail kuloud voice
Mnagombania kuwa size eight/

Nawachana jukwaani
Tena nawasha fire/

Mapepo ibadani
Dude nawasha kaya/

Ona, navyoutawala uzi
Kwa battle nawapodoa/

Onja, acha kupiga miluzi
Kidume ushaachwa unakodoa/

Hali sio poa
Namechange climate mpaka weather/

Napiga hadi naboa
Uzito mzito niite myweather/
 
Shyt is draconian, I need a cogniac
A Tennesee Henessy to let me see,
The light, alright?
To let me free, let me flee
I'm bright, get high like a kite
With Pombe, not Magufuli
Hombre, I'm sick with a toolie
This code is Hammurabi
The abode would harm a rabbit
A harmless bunny, for the love of money
Escrow like Esco, Escobar escapades in escalades
Money laundry, wintering the everglades in shady shades
Smoking that high grade, cutting ks with high blades
Ain't no rookie in my routine, Dar to Miami-Dade
 
Shyt is draconian, I need a cogniac
A Tennesee Henessy to let me see,
The light, alright?
To let me free, let me flee
I'm bright, get high like a kite
With Pombe, not Magufuli
Hombre, I'm sick with a toolie
This code is Hammurabi
The abode would harm a rabbit
A harmless bunny, for the love of money
Escrow like Esco, Escobar escapades in escalades
Money laundry, wintering the everglades in shady shades
Smoking that high grade, cutting ks with high blades
Ain't no rookie in my routine, Dar to Miami-Dade
Haha ba Zuhura kumbe upo njema hadi huku
 
Haha ba Zuhura kumbe upo njema hadi huku
Nakaba kila kona, kwa mahaba bila noma
Si haba ninapona, naranda Dar -Kigoma
Makahaba watashona, Sodoma nishagoma
Koloni la wakoma watakoma
Nanona, ka shavu la mtoto wa geti kali
Nasonya, kwa ubavu wa moto wa cheti cha serikali
Hii habari matata, kama kupigwa mbata makata
Katika harusi ya kaka jiko aliyepata
Wapinzani, nawaacha gizani kama hawana LUKU
Wakidhani nawakacha mezani kwa mtaharuku
Hivi vitu ni fani, Nyangema usiijaribu
Hii kuntu mizani, mtagema mtaharibu
Nazoa mahela kama Bahati Nasibu
Naboa kwa trailer movie lake hutanijibu

Shall I continue ?
 
Gezuz Jf ila nikiwa China naitwa sue-chi //
Nashangaa kuona mabinti humu wanauza uchi //
Nchi ina giza nene no mapene na hapakuchi//
Bedui nina ndui niite chui na sina guchi//
 
Nakaba kila kona, kwa mahaba bila noma
Si haba ninapona, naranda Dar -Kigoma
Makahaba watashona, Sodoma nishagoma
Koloni la wakoma watakoma
Nanona, ka shavu la mtoto wa geti kali
Nasonya, kwa ubavu wa moto wa cheti cha serikali
Hii habari matata, kamaku pigwa mbata makata
Katika harusi ya kaka jiko aliyepata
Wapinzani, nawaacha gizani kama hawana LUKU
Wakidhani nawakacha mezani kwa mtaharuku
Hivi vitu ni fani, Nyangema usiijaribu
Hii kuntu mizani, mtagema mtaharibu

Shall I continue ?
Ebwana eeh
Jamaa kumbe upo njema/

Nilijua wee kizee
Balaa kumbe bado u vyema/

umeshawakaba kama ngwena
Hakuna haja tena/

Mnyamwe kumbe sio lena
Kimasai nakusalimu keiya /

Haha hakuna haja ya kuendelea bhana
 
Ebwana eeh
Jamaa kumbe upo njema/

Nilijua wee kizee
Balaa kumbe bado u vyema/

umeshawakaba kama ngwena
Hakuna haja tena/

Mnyamwe kumbe sio lena
Kimasai nakusalimu keiya /

Haha hakuna haja ya kuendelea bhana

Nikiwa bizee, usidhani kizee
Ntakuweka selo kama Halima Mdee
Mazee, aisee, Mangi au Mdoe?
Ntakutoa chati kwa shati ka Mpendazoe
Nakaba wazito kaa Kabwe
Napenda Nape, wa sasa si kabla ule ubabe
Ni staa kama Slaa kila saa napaa majaa
Nakuasa ka Lowassa halafu natambaa
Kinaa ka Kinana si kiwete ubwete ka Kikwete
Upepo mwanana Chake Chake mpaka Wete
Mi Nyerere we nyenyere acha segere
Piga vigelegele kunishangilia shere
Ntakutoa kapa mitusi kama Mkapa
Kwa speech za fisadi Papa aliyepiga chini bapa
Si Lipumba Lipumbavu, siasa za mabavu
Nafumba ushupavu kwa lakisasa shavu
Nafunga makufuli kutumia Magufuli
Nakushikia bango kama Sita viwango
Si kamba za Makamba na mipango ya Mpango
 
Nikiwa bizee, usidhani kizee
Ntakuweka selo kama Halima Mdee
Mazee, aisee, Mangi au Mdoe?
Ntakutoa chati kwa shati ka Mpendazoe
Nakaba wazito kaa Kabwe
Napenda Nape, wa sasa si kabla ule ubabe
Ni staa kama Slaa kila saa napaa majaa
Nakuasa ka Lowassa halafu natambaa
Kinaa ka Kinana si kiwete ka Kikwete
Upepo mwanana Chake Chake mpaka Wete
Mi Nyerere we nyenyere acha segere
Piga vigelegele kunishangilia shere
Ntakutoa kapa mitusikama Mkapa
Kwa speech za fisadi Papa aliyepiga chini bapa
Si Lipumba Lipumbavu, siasa za mabavu
Nafumba ushupavu kwa lakisasa shavu
Nafunga makufuli kutumia Magufuli
Nakushikia bango kama Sita viwango
Si kamba za Makamba na mipango ya Mpango
You got skills man. You hit the target.
 
Nikiwa bizee, usidhani kizee
Ntakuweka selo kama Halima Mdee
Mazee, aisee, Mangi au Mdoe?
Ntakutoa chati kwa shati ka Mpendazoe
Nakaba wazito kaa Kabwe
Napenda Nape, wa sasa si kabla ule ubabe
Ni staa kama Slaa kila saa napaa majaa
Nakuasa ka Lowassa halafu natambaa
Kinaa ka Kinana si kiwete ubwete ka Kikwete
Upepo mwanana Chake Chake mpaka Wete
Mi Nyerere we nyenyere acha segere
Piga vigelegele kunishangilia shere
Ntakutoa kapa mitusikama Mkapa
Kwa speech za fisadi Papa aliyepiga chini bapa
Si Lipumba Lipumbavu, siasa za mabavu
Nafumba ushupavu kwa lakisasa shavu
Nafunga makufuli kutumia Magufuli
Nakushikia bango kama Sita viwango
Si kamba za Makamba na mipango ya Mpango
Siku hizi hatuna maprofesa//
Kisa...wengi mbona ni maporapesa//
Tena ndo hao wanatutesa...yes sir tena wana visa//

Hapana...simsemi bwana yule//
Msije mkanipeleka mabwepande bure//
Na hizi degree za kikuda si bora tu mrudi shule//.

Sent from my SM-J100H using JamiiForums mobile app

 
Ebwana eeh
Jamaa kumbe upo njema/

Nilijua wee kizee
Balaa kumbe bado u vyema/

umeshawakaba kama ngwena
Hakuna haja tena/

Mnyamwe kumbe sio lena
Kimasai nakusalimu keiya /

Haha hakuna haja ya kuendelea bhana
Shikamoo jamaan nimekumiss tu hivi mshindi bado tu mpaka leo
 
Siku hizi hatuna maprofesa//
Kisa...wengi mbona ni maporapesa//
Tena ndo hao wanatutesa...yes sir tena wana visa//

Hapana...simsemi bwana yule//
Msije mkanipeleka mabwepande bure//
Na hizi degree za kikuda si bora tu mrudi shule//.

Sent from my SM-J100H using JamiiForums mobile app

Watawala wata wala, Simba na Swala
Washafanya mafala,Kibiti na Salasala
Viongozi wa vitongoji vitongozi wa ngozi
Ubitozi wa mapozi ya kozi za ukombozi
Kumbe geresha, kutuendesha kwa presha
Uhakiki wa mikiki kumbe kutafuta kiki
Ukitiki urafiki wa unafiki uhakiki kwikwi
Kama Bashite wa city, mwache apite
Kakosa toa cheti hata four ya Jite ?
Wengine tumeamua kupiga kura kwa miguu
Shika bomba sanura sura fura maisha ni sikukuu
 
Back
Top Bottom