JF Hip-hop frestyle battle

JF Hip-hop frestyle battle

MI MBAYAAAA
Humu kulikua na wana kibao wote wamesepa,

Walikuepo kibao mwingine anajiita mtengwa,

Wale walijiita mchele mbele yangu wewe chenga,

Kushindana na wewe ni kama kutia maji kwa tenga
 
Mngekuwa mnaweka mada mbali mbali watu wanajadili kwa bars. Wengi usanii mwingi humu, na hakuna wanachosema.
 
Mngekuwa mnaweka mada mbali mbali watu wanajadili kwa bars. Wengi usanii mwingi humu, na hakuna wanachosema.
Ukielewa utakubali nini tunafanya
Kubali vya nyumbani acha kuhanya
Mada toe wewe uone ntachofanya
Wana wapo kimya nishawakusanya
 
Anayetaka aanze kuongelea mada.
Isiwe mada ya ban, sijawahi kupigwa ban sina knowledge nayo
Dah mbona mnatoa Mada zenye Majanga

Au mnataka niongee nitolewe Muhanga

Serikali hii sio poa inabidi Kujichunga

Namsalimia Rais huku Najivunga

Dk ni Kigwangala wengine ni Wakunga

Kweli bongo michosho macho Tulifungwa

Dhahabu imepanda ndege na lundo la mchanga
 
Dah mbona mnatoa Mada zenye Majanga

Au mnataka niongee nitolewe Muhanga

Serikali hii sio poa inabidi Kujichunga

Namsalimia Rais huku Najivunga

Dk ni Kigwangala wengine ni Wakunga

Kweli bongo michosho macho Tulifungwa

Dhahabu imepanda ndege na lundo la mchanga
Serikali siyo ishu imempigisha magoti Seth,

Hapa tunamngoja Chenge mzee wa vijisent,

Rugemalila ndani ya kisutu kumbe ni mkwepa kodi,

Magufuli bulldozer kila sehemu linabisha hodi,

Ngoja tucheki hii deal kama song la Oliver la Todi
 
Serikali siyo ishu imempigisha magoti Seth,

Hapa tunamngoja Chenge mzee wa vijisent,

Rugemalila ndani ya kisutu kumbe ni mkwepa kodi,

Magufuli bulldozer kila sehemu linabisha hodi,

Ngoja tucheki hii deal kama song la Oliver la Todi
hizi tuhuma za ACACIA hivi ni movie ama kweli

mara tunamuona barrick wakazungumza privacy tena kwa kiingereza na si kwa kiswahili

mtaani story zikavuma mara atalipa ila si hivi hivi mpaka ikigundulika kama alikwepa muhimili

sasa tupo mguu sawa twataka kuona kitakacho endelea kwa hili dili

ila kikishanuka inabidi hadi walengwa waliopita nao wahusishwe kwani sign walizinakili

hapo ndipo kwenye mtihani ndiyo maana TZ imeitwa bongo ikiwa na maana kitafsili


na nahisi hii itapita kama upepo hizi pambio tushazizoea waswahili
 
hizi tuhuma za ACACIA hivi ni movie ama kweli

mara tunamuona barrick wakazungumza privacy tena kwa kiingereza na si kwa kiswahili

mtaani story zikavuma mara atalipa ila si hivi hivi mpaka ikigundulika kama alikwepa muhimili

sasa tupo mguu sawa twataka kuona kitakacho endelea kwa hili dili

ila kikishanuka inabidi hadi walengwa waliopita nao wahusishwe kwani sign walizinakili

hapo ndipo kwenye mtihani ndiyo maana TZ imeitwa bongo ikiwa na maana kitafsili


na nahisi hii itapita kama upepo hizi pambio tushazizoea waswahili
Kumtaja Magu haimaanishi ninamkubali,

Tangu aingie ikulu kupata ajira imekua zali,

Unga umepanda bei ni mwendo wa chai kavu bila sukari,

Kibiti hapakaliki kupita na nguo ya kijani imekua hatari,

Imekua ngumu kuidhibiti hata malaria,

Utata unakuja tumeanzisha tifu na acacia,

Tundu anasema tumebugi wengine wanasema shikilia,

Wana hatuna habari tunangoja noah za makinikia,

Hamna kumtaja ben na mwenzie mawio limefungiwa,

Uhuru wa habari umekua shit saini alipiga Nnauye,

Leo anatolewa pistol kaonja utamu wa uonevu wa bure...
 
Njuka unazingua na vesi za kuokoteza,

Pumzi huna tutakuua kimistari tutakupoteza,

Wanaume tunashughulika mvulana upo bize unacheza,

Jiangalie kwa makini ntakupa vitu vya kuteleza
Ni kama mafuta sheli,njoo mistari uikombe/
We unachora kwa penseli, utabeba vipi kikombe/
Kaimbe tu kisingeli,kama mwanalizombe/
Kimichano ulishafeli,labda ukatest pombe/

form1
 
Kwa Tanzania Dar ndiyo kila kitu,

Wa mikoani mna wivu ushamba na mabifu,

Vijiweni tunakaa tunapata michongo ya kila kitu,

Puli hatupigi huku kuna mademu visu,

Unga tunaokula we ni lofa hauugusi,

Mi ndo baba yenu nakuadabisha mpuuzi

bro acha kujitetea,huko dar hamna lolote,

vijijini mmekimbia,mnapenda mpewe vya bure,

mna sifa za mademu umbea na ukiherehere,

ulizeni mademu zenu tunavyowafanya kulee,

wanafurahia gemu mpaka wanapiga makelelee,

tunasifika kwa kazi anko magu anatujua vizuri,

sio nyie maviazi,hadi kwenye kilimo mlishafeli,,,,
 
Patamu patamu juu patamu pale kati

Najua nachoandika kata kiki panda mti

NASKUTI. RAP hiphop kitaa sasa mtiti
 
Kumtaja Magu haimaanishi ninamkubali,

Tangu aingie ikulu kupata ajira imekua zali,

Unga umepanda bei ni mwendo wa chai kavu bila sukari,

Kibiti hapakaliki kupita na nguo ya kijani imekua hatari,

Imekua ngumu kuidhibiti hata malaria,

Utata unakuja tumeanzisha tifu na acacia,

Tundu anasema tumebugi wengine wanasema shikilia,

Wana hatuna habari tunangoja noah za makinikia,

Hamna kumtaja ben na mwenzie mawio limefungiwa,

Uhuru wa habari umekua shit saini alipiga Nnauye,

Leo anatolewa pistol kaonja utamu wa uonevu wa bure...
chaajabu hata vichwa vya habar ni marufuku kuvisoma

na hii ni kwa zote media kiukweli ishakuwa noma

maana huyu mwakye mwenye mbe analeta hizi sogoma

kabla ya hii ishu tulimsikia hakuna kuoa bila cheti cha kuzaliwa ila ikabuma

kufuli ikamuingilia kati ndipo kwenye shimo akadema

na tukija kwa mitaa kama kawa raia kwa maneno tulimchoma

kwani itikadi alizotaka kuzileta zilikuwa ni za kibiliti ngoma
 
chaajabu hata vichwa vya habar ni marufuku kuvisoma

na hii ni kwa zote media kiukweli ishakuwa noma

maana huyu mwakye mwenye mbe analeta hizi sogoma

kabla ya hii ishu tulimsikia hakuna kuoa bila cheti cha kuzaliwa ila ikabuma

kufuli ikamuingilia kati ndipo kwenye shimo akadema

na tukija kwa mitaa kama kawa raia kwa maneno tulimchoma

kwani itikadi alizotaka kuzileta zilikuwa ni za kibiliti ngoma
Huu uongozi mtamu kwa wasiokua na vyeti,

Ishobokee ccm tu michongo yako itajiseti,

Bashite anakula maisha kama Chenge wa vijisenti,

Ajira zimesitishwa moto ni mkali kwa graduate,

Njaa ikatokea wakakatazwa kuuza na kununua tisheti,

Ushauri wa jiajiri siku hizi umekua fashen,

Miundombinu ni shit tunayoimbiwa deile hiyo ni boshen,
 
Yoyoo yo michano yenu dizaini ya pumba za magu stori za ccm ujinga was bashite na usenge wa waziri wetu wa sanaa , sana mnachana kuusu wasichana sana mnachana kuusu mashuga mama mshakua wamamaa watoto wamama nawachana mkaseme kwakinamama Mimi ndio yule mselawenu babayenu mamazenu wananisalimia kwenye vitanda,
We Chalii wa dar daresalama wazee wasalama mlalwe salama chalii ya R sipendi masiara na mshaara sikalishwi na nyiekuku wa kisasa mi ndio jogoo nayekulampka majogoo wakisasa
 
Huu uongozi mtamu kwa wasiokua na vyeti,

Ishobokee ccm tu michongo yako itajiseti,

Bashite anakula maisha kama Chenge wa vijisenti,

Ajira zimesitishwa moto ni mkali kwa graduate,

Njaa ikatokea wakakatazwa kuuza na kununua tisheti,

Ushauri wa jiajiri siku hizi umekua fashen,

Miundombinu ni shit tunayoimbiwa deile hiyo ni boshen,
nashangaa kuhusu kibiti leo nimesikia mkwala akijitambia

eti cha moto washashaanza kukiona wale maninja wanaozingua

anasema huu utawala hauna utani mpaka gaga watasugua

wale wauaji wasiolemba kiukweli kule kibiti wanasumbua

ila mr.pombe kali kawasilibia mpaka raia nakuwaambia kama wahusika wanawajua

niwamajumbani mwao kikubwa na kibaya wanawaficha kwa kuwalea
 
swaga ndo kitu sina ila old skuli/
mnyonyo na travoo si hatufungi msuli/
nakunywa banana na mbege siijui kili/
ntakunyonga kwa mistari ikiwezekana na msuli/huku kuna wambulu wazuri sipigagi puli/cheki unavyosoma ka mtoto wa la pili.....subiri nkanywe kiroba ntarudi /
coz wewe kwangi ni kama digidigi
 
Mi ndo the don mfupa ulio mshinda Clinton umezoea mabomu ya gongo la mboto usijaribu mzikii huu wa Putin a.k.a nuclear
 
Back
Top Bottom