JF Hip-hop frestyle battle

JF Hip-hop frestyle battle

Kimistari we Kayumba utabakia hapa hapa,

Hauna vina unayumba kama matusi ya Mkapa,

Mistari imejaa pumba haiwezi shindana na gangster rapa,

Mistari umeijaza shombo na shobo za choko kaoge,

Mistari yako midogo ni robo kutusua labda uloge,

Natishia amani kwa punch na pumzi mambo yako mchafu koge,
ha ha haa kweli we kilaza hata vina hauvioni

nahisi ushageuka mwali mwali na inabidi uingie unyagoni

upeo wako kandambili mi nakunyoosha hadharani

fedhui hauna jipya flow zako tongotongo hata hauoni machoni


nakulaza kifudifudi huu mchezo hauniwezi utakufa maskini

njaa zimeshakutawala we snitch sikupi gwala cha ajabu umevaa shanga kiunoni


ukiniona mimi jifiche haya makucha next level nakuchalaza vitani

 
Nipo ndani ya basi naelekea K koo,

Mbuzi unaniquote na mistari ya kibishoo,

Nakutoa knockout kwa punch mi ni soo,

Dogo Lusematic karibu unyonye mb..
bado sana jipange ikiwezekana uukusanye hadi ukoo wako

mjijaze na mje wengi bila kumsahau yule dada yako

ligi yako ndogo mpaka unaingiza tusi mi si level zako

dalili za kushindwa naona unatoa utapishi mi ni bora kiboko yako

tafuta kijiji cha kwenu kisha mje na kilugha chenu na bado nitawachapa fimbo za matako
 
Mwendo wa kobe akili zao,me nna 4g ya duma/
Mbele wakae wao,mi fataki niwe nyuma/
Nachakaza mpaka kwao,kama kutu kwenye chuma/
Na waambie dada zao,me ndi yule fundi ku**/

form1
 
Kaa pembeni we bishosti,usivamie hii duru/
Wenzako wananipost,daily kunishukuru/
Ukizingua itakucost,muhuni nakula puru/
Usithubutu kuniquote,mchana kweupe ntakufturu/

form1
 
Hahahaha dah mzee kazi zinakuzidi uwezo unaanza kutema shombo,

Msosi wa mistari nimemaliza kaa ungoje makombo,

Umeuingia huu mziki ni lazima uende kombo,

Mistari yako hohe hahe, nakufunika na hizi lyrics mpaka upagawe,

Mi ni mgumu kaa mbali we brazamen wa Madale

bro kumbe na wewe mwanaume wa dar?

nishaskia stori zenu mpaka nimeshangaa,

mnapenda sana viepe na huku mnavibamiaa,

unajiita mgumu wakati una sura nyepesi kama bagiaa,

vigodoro ndo kazi yenu hizi fani mnavamiaa,
 
ha ha haa kweli we kilaza hata vina hauvioni

nahisi ushageuka mwali mwali na inabidi uingie unyagoni

upeo wako kandambili mi nakunyoosha hadharani

fedhui hauna jipya flow zako tongotongo hata hauoni machoni


nakulaza kifudifudi huu mchezo hauniwezi utakufa maskini

njaa zimeshakutawala we snitch sikupi gwala cha ajabu umevaa shanga kiunoni


ukiniona mimi jifiche haya makucha next level nakuchalaza vitani

Mi kilaza na nna ladha za kukulaza king'asti,

Lyrics sweet I go harder hauniwezi bi shosti,

Kwa freestyle mi ni baba chek mistari kazi ka samasoti,

Hiki kipigo natandaza endelea kuniquote,

Bi dada hapa umevaba we endelea kujiseti,

Hauna wa kumfunika na mistari ya choklet
 
bado sana jipange ikiwezekana uukusanye hadi ukoo wako

mjijaze na mje wengi bila kumsahau yule dada yako

ligi yako ndogo mpaka unaingiza tusi mi si level zako

dalili za kushindwa naona unatoa utapishi mi ni bora kiboko yako

tafuta kijiji cha kwenu kisha mje na kilugha chenu na bado nitawachapa fimbo za matako
Napiga mbwiga vipigo na bubu ataka kusema,

Hizi ruti ndefu dogo naona unahema,

Nilishapewa mke kwa haya madini ninayotema,

Nakukemea utoke hayo majini ka Gwajima
 
bro kumbe na wewe mwanaume wa dar?

nishaskia stori zenu mpaka nimeshangaa,

mnapenda sana viepe na huku mnavibamiaa,

unajiita mgumu wakati una sura nyepesi kama bagiaa,

vigodoro ndo kazi yenu hizi fani mnavamiaa,
Mi syo mwanaume wa Dar mi ni kulubembe la dunia,

Unantaman npo Dar kuja huwezi unabaki kulia,

Unaulizia kibamia? Yea nmezipanda nyingi zipo kwenye bustani,

Ute nikiunyunyiza lazima utaniita hani,

Nielekeze ulipo nkufate kuna tatizo kwani?
 
Mi syo mwanaume wa Dar mi ni kulubembe la dunia,

Unantaman npo Dar kuja huwezi unabaki kulia,

Unaulizia kibamia? Yea nmezipanda nyingi zipo kwenye bustani,

Ute nikiunyunyiza lazima utaniita hani,

Nielekeze ulipo nkufate kuna tatizo kwani?

nije dar kufanya nini,hakuna hata madili,

kazi kushinda vijiweni,hamna kazi wala shughuli,

sasa hivi mnakula unga,mnamlaumu tu magufuli,

mnatembea kama vinyonga,wengine mnapiga puli,

unataka nikuelekeze nilipo?,poa njoo nikupe akili,

upanue mawazo yako,uongeze uwezo wa kufikiri.



karibu saaaaaaaaaaaaaaaaaana brother,,,,,,,
 
oi oi oi [HASHTAG]#Daby[/HASHTAG] jombaa/
i think humu ndani ni full kinyulaa/
natoka kaskazini pande za r.chuga/
ukipenda ita arusha kama vipi we vunga/
huwezi kutana na teja wala hakuna mapunga/
huku kila mtu bilionea i mean tuna mpunga/
hip hop ngumu ilipozaliwa hakuna wabana pua/
sizani kama nna mpinzani hasa kama unatoka darisalama/
wakushinda kwa chips yai bao moja unalala/
kuogopa panya road kujificha under verossa.....oi oi oi anayeweza ajitokeze!......
 
nije dar kufanya nini,hakuna hata madili,

kazi kushinda vijiweni,hamna kazi wala shughuli,

sasa hivi mnakula unga,mnamlaumu tu magufuli,

mnatembea kama vinyonga,wengine mnapiga puli,

unataka nikuelekeze nilipo?,poa njoo nikupe akili,

upanue mawazo yako,uongeze uwezo wa kufikiri.



karibu saaaaaaaaaaaaaaaaaana brother,,,,,,,
Kwa Tanzania Dar ndiyo kila kitu,

Wa mikoani mna wivu ushamba na mabifu,

Vijiweni tunakaa tunapata michongo ya kila kitu,

Puli hatupigi huku kuna mademu visu,

Unga tunaokula we ni lofa hauugusi,

Mi ndo baba yenu nakuadabisha mpuuzi
 
oi oi oi [HASHTAG]#Daby[/HASHTAG] jombaa/
i think humu ndani ni full kinyulaa/
natoka kaskazini pande za r.chuga/
ukipenda ita arusha kama vipi we vunga/
huwezi kutana na teja wala hakuna mapunga/
huku kila mtu bilionea i mean tuna mpunga/
hip hop ngumu ilipozaliwa hakuna wabana pua/
sizani kama nna mpinzani hasa kama unatoka darisalama/
wakushinda kwa chips yai bao moja unalala/
kuogopa panya road kujificha under verossa.....oi oi oi anayeweza ajitokeze!......
Dogo kelele nyingi umevagaa uzi wa vina,

Huku hapawafai mapimbi na ufupi shit wa Lina,

Naona unatafuta kiki halafu mimi habari sina,

Mistari yako shit haina swaga imechina
 
Yoooooo yooooooo yooooooo
Nautajiri wa mashairi nashibisha dunia zima
Naswager za makhikiri ukijaribu iga utazima me ndo bosi tajiri
Jf wote nawazima
 
Mi kilaza na nna ladha za kukulaza king'asti,

Lyrics sweet I go harder hauniwezi bi shosti,

Kwa freestyle mi ni baba chek mistari kazi ka samasoti,

Hiki kipigo natandaza endelea kuniquote,

Bi dada hapa umevaba we endelea kujiseti,

Hauna wa kumfunika na mistari ya choklet
sampuli ya boya kama wewe najua kichwani hauna kitu

unaForce hii talent wakati ubongo wako umejawa kutu

unaleta udada du leo umekutana na mtukutu

mistar yako mepesi inaelea mpaka pasipo na maji nakujipa moyo eti unathubutu

big boy mimi big toy wewe hauna radha na nitazidi kukukimbiza pasipo mtutu


una vituko ile mbaya nakucheka ile sana we ni miongoni mwa wale watu wasio na viatu

baba yao boss wenu wa flow wenu ni mimi niliyekuwinda pasipo msitu

jishangae kisha nenda kwa bafu ukakoge mwili wako umejawa na ukurutu

 
Napiga mbwiga vipigo na bubu ataka kusema,

Hizi ruti ndefu dogo naona unahema,

Nilishapewa mke kwa haya madini ninayotema,

Nakukemea utoke hayo majini ka Gwajima
hapa hakuna cha gwajima ila nachojua wewe nivmama huruma

umekuja pupa ushafeli ushakalia visu kwa kirefu kima

unajikaza kurukaruka mtaa mzima kutwa nzima unandindima

mithiri ya khadija kopa hiyo mipas
Napiga mbwiga vipigo na bubu ataka kusema,

Hizi ruti ndefu dogo naona unahema,

Nilishapewa mke kwa haya madini ninayotema,

Nakukemea utoke hayo majini ka Gwajima
hapa hakuna cha gwajima ila nachojua wewe nivmama huruma

umekuja pupa ushafeli ushakalia visu kwa kirefu kima

unajikaza kurukaruka mtaa mzima kutwa nzima unandindima

mithiri ya khadija kopa hiyo mipasho unayotema

walowezi wanakunusa we umelala huku wazawa wanajituma
 
sampuli ya boya kama wewe najua kichwani hauna kitu

unaForce hii talent wakati ubongo wako umejawa kutu

unaleta udada du leo umekutana na mtukutu

mistar yako mepesi inaelea mpaka pasipo na maji nakujipa moyo eti unathubutu

big boy mimi big toy wewe hauna radha na nitazidi kukukimbiza pasipo mtutu


una vituko ile mbaya nakucheka ile sana we ni miongoni mwa wale watu wasio na viatu

baba yao boss wenu wa flow wenu ni mimi niliyekuwinda pasipo msitu

jishangae kisha nenda kwa bafu ukakoge mwili wako umejawa na ukurutu

I think big mistari hit hakuna pimbi wa kuizima,

Mipasho mingi tako big kama RC wa Mzizima,

Mistari mizani shit pumzi kati pole boya umepima,

Mtoto unajisifu weupe na ngozi soft kama Sauda Mwilima,

Hii inawafaa binadamu hauiwezi we ni kima,

Mistari kama upupu inakuwasha mwili mzima,

Ukitaka kukunwa nambie bonge la bwana noma sina.
 
Back
Top Bottom