Mi ndo mkora wa wakora unanichezea sharubu,hapa hakuna cha gwajima ila nachojua wewe nivmama huruma
umekuja pupa ushafeli ushakalia visu kwa kirefu kima
unajikaza kurukaruka mtaa mzima kutwa nzima unandindima
mithiri ya khadija kopa hiyo mipas
hapa hakuna cha gwajima ila nachojua wewe nivmama huruma
umekuja pupa ushafeli ushakalia visu kwa kirefu kima
unajikaza kurukaruka mtaa mzima kutwa nzima unandindima
mithiri ya khadija kopa hiyo mipasho unayotema
walowezi wanakunusa we umelala huku wazawa wanajituma
Mistari yako hovyo umetoa kwenye kibubu,
Kweli bongo nyoso mabrazamen mnanihusudu,
Nna flow na swaga tamu kama nyama ya kudu,
Endelea kunivagaa dogo unawashwa mdudu,
Naona unatapa tapa unasingizia lugha,
Mistari inavutia kama Mimi Mars na Shuga,
Hizi zangu ni vipaji hauji niweza buda