JF Hip-hop frestyle battle

JF Hip-hop frestyle battle

Nimeshiba mistari soon nitatapika

Nawacheki fake rappers jinsi wanavyotaabika

Ukali wa mistari bro haijali rika

Hatua moja nikisonga inakua ngumu kunishika

Mimi najiamini ni mwiko kukimbia

Kwa hilo changa la mtoto sijui nini ulifikiria
Mzee unanipandisha mzuka hebu kwanza kula like,

Haya usicheke sana hebu nipe hiyo maik,

Mistari yako famba kama uhuru na show za halaiki,

Ukali mkali wa korea na yule mwana kipanki,

Nakutoa damu nasepa ushahidi humu ndani sitaki,

Madude yakikuzidia usisite kwenda kushtaki,

Swaga zako ziko flopi mi mkali haunikamati,

Hii mitindo yako ya kukopi hapa ndo umefika tamati
 
Hahaha nachana mpaka najiona sina mana
Loveshit nabushit tusigombanie wasichana

Wengi malaya
Wapo juu zaid ya safu za himalaya

Naona bora ni rap
Niwe kigum and i nt stop
Bana kesho nshavulugwa na demu
 
Hahaha nachana mpaka najiona sina mana
Loveshit nabushit tusigombanie wasichana

Wengi malaya
Wapo juu zaid ya safu za himalaya

Naona bora ni rap
Niwe kigum and i nt stop
Bana kesho nshavulugwa na demu
Mademu wapo kibao unavurugwaje na mmoja?

Kuvurugwa siyo ishu kamata kazi kali mpaka aone noma,

Anakupimia mchizi ukimpa kubwa atakoma,

Acha kujiinamia msomeshe namba ataisoma,
 
Mzee unanipandisha mzuka hebu kwanza kula like,

Haya usicheke sana hebu nipe hiyo maik,

Mistari yako famba kama uhuru na show za halaiki,

Ukali mkali wa korea na yule mwana kipanki,

Nakutoa damu nasepa ushahidi humu ndani sitaki,

Madude yakikuzidia usisite kwenda kushtaki,

Swaga zako ziko flopi mi mkali haunikamati,

Hii mitindo yako ya kukopi hapa ndo umefika tamati
Freestyle niko good kama zila wa salasala,

Nakuona uko kwenye mood ila mi hii ndo mida ya kulala,

Sorry my brother the hood tukutane kesho inshallah

Najitahidi kuwa msafi mdomoni zaidi ya konda wa daladala

Yote kwa yote niwatakie usiku mwema huku tukimshukuru mola
 
Freestyle niko good kama zila wa salasala,

Nakuona uko kwenye mood ila mi hii ndo mida ya kulala,

Sorry my brother the hood tukutane kesho inshallah

Najitahidi kuwa msafi mdomoni zaidi ya konda wa daladala

Yote kwa yote niwatakie usiku mwema huku tukimshukuru mola
Pop pop vitasa another one anakimbia,

Shit shit na sasa another one anakimbia,

Moto mkali nimewasha another one anakimbia,

Kazi kali na sasa anaother one anakimbia
 
yes yes am ready for the battle,,,

1,2,3 4 ghafla nipo njiani akakatiza miss chagga,
nikasema thanx God,leo ni leo hata kama sina swaga,
mtoto ameumbika,body lake kama lady gaga,
huku nyuma alivyonona daaah kweli toto la kichaga,
mate yalianza kunitoka kama vile nimeona burger,
nikatembea kwa spidi ili nimkaribie,
huku nikiwaza gia gani nzuri nimuingilie,
nikajiweka sawa huku nikisali mungu anisaidie,
yasije yakatokea mengine matusi niambulie,
ghafla kidogo nikashtushwa na honi kali,
ilikua ni gari ya kifahari land cruser V8,
ikapita pembeni yangu na kuelekea alipo miss chaga,
nikasimama kwanza nione nini kinachoendelea,
akashuka mdingi mmoja mfupi huku akiniangalia,
we kijana kuwa makini shauri yako utapotea,
aliniambia maneno hayo huku akiendelea kutembea,
akamfata miss chagga kisha wakakumbatina,
huku mabusu ya kila aina mdomoni wakipeana,
niliishiwa pozi nikatamani nilie,
sikuwa na lakufanya ikabidi nijiachie,
nilitembea kwa huzuni kama nimepatwa na msiba,


ahaaaaaa to be continue.....
 
Teh! teh! Sio kicheko cha dharau

Huko kujitia king lini umepanda dau

Nilikuonya sitokimbia nadhani umesahau

King wa freestyle misemo na nahau

i'm back
Mistari yangu mipana inakufunika gubi gubi,

Nitokee na mkwara shit wa Belle 9 na amerudi,

Nakufunga kama C sir na upuuzi wa kifungo huru,

Mistari yako ya giza yangu inaleta nuru,

Nitaendelea kukimbiza hii spid ishakua full
 
yes yes am ready for the battle,,,

1,2,3 4 ghafla nipo njiani akakatiza miss chagga,
nikasema thanx God,leo ni leo hata kama sina swaga,
mtoto ameumbika,body lake kama lady gaga,
huku nyuma alivyonona daaah kweli toto la kichaga,
mate yalianza kunitoka kama vile nimeona burger,
nikatembea kwa spidi ili nimkaribie,
huku nikiwaza gia gani nzuri nimuingilie,
nikajiweka sawa huku nikisali mungu anisaidie,
yasije yakatokea mengine matusi niambulie,
ghafla kidogo nikashtushwa na honi kali,
ilikua ni gari ya kifahari land cruser V8,
ikapita pembeni yangu na kuelekea alipo miss chaga,
nikasimama kwanza nione nini kinachoendelea,
akashuka mdingi mmoja mfupi huku akiniangalia,
we kijana kuwa makini shauri yako utapotea,
aliniambia maneno hayo huku akiendelea kutembea,
akamfata miss chagga kisha wakakumbatina,
huku mabusu ya kila aina mdomoni wakipeana,
niliishiwa pozi nikatamani nilie,
sikuwa na lakufanya ikabidi nijiachie,
nilitembea kwa huzuni kama nimepatwa na msiba,


ahaaaaaa to be continue.....
Dogo fanya kazi acha kuwaza mapenzi,

Ingia kwenye huu uzi anza kushusha tenzi,

Unapend upate mimama full kitonga na utelezi,

Bob huo umarioo siyo deal toka enzi na enzi,

Hata skuli inakua ngumu mapenzi yakikudrive crazy,

Now try gettin serious coz you are in for the world of pain
 
Dogo fanya kazi acha kuwaza mapenzi,

Ingia kwenye huu uzi anza kushusha tenzi,

Unapend upate mimama full kitonga na utelezi,

Bob huo umarioo siyo deal toka enzi na enzi,

Hata skuli inakua ngumu mapenzi yakikudrive crazy,

Now try gettin serious coz you are in for the world of pain

kuna muda wa kazi na muda wa mapenzi,

me ni gentlemen huwa sina tabia za kishenzi,

bro hiyo ni stori tu sijazungumzia mapenzi,

uwe mwepesi kuelewa,sio tu kuachia ushuzi,
 
kuna muda wa kazi na muda wa mapenzi,

me ni gentlemen huwa sina tabia za kishenzi,

bro hiyo ni stori tu sijazungumzia mapenzi,

uwe mwepesi kuelewa,sio tu kuachia ushuzi,
Hahahaha dah mzee kazi zinakuzidi uwezo unaanza kutema shombo,

Msosi wa mistari nimemaliza kaa ungoje makombo,

Umeuingia huu mziki ni lazima uende kombo,

Mistari yako hohe hahe, nakufunika na hizi lyrics mpaka upagawe,

Mi ni mgumu kaa mbali we brazamen wa Madale
 
  • Thanks
Reactions: CTX
Mistari yangu mipana inakufunika gubi gubi,

Nitokee na mkwara shit wa Belle 9 na amerudi,

Nakufunga kama C sir na upuuzi wa kifungo huru,

Mistari yako ya giza yangu inaleta nuru,

Nitaendelea kukimbiza hii spid ishakua full
We endelea kukimbia bila kujua unakoelekea

Mistari ni kuntu sio nisaidie kushare

Hapa ni maji marefu kina so chakuogelea

Huu msosi wa moto tafuta viporo vya kuchezea
 
Hizi lyrics na mistari shit ya vyeti vya bashite,

Freestyle haina afya ni lazima nikupite,

Nakupa kipigo hevi fanya mpango na wengine uwaite,

Mistari umeijaza shombo na michambo ya kike,

Jikaze leta ubishi mfalme nikufirimbe.
we ni baby mama mi ndiyo kong fu master nakutich nana kutoa kwenye chain ya zako drama


kapuku kinyesi upo soft kimdebwedo wanakubonya ile kinoma


usilete ulele dada utapotea mdogomdogo bora uwe kimya na uanze kuungama


link yako imevuja low capacity na hiyo speed yako ya kobe kamwe hunifikii hii ni level Ya duma


najua akili yako ishanivulia kofia na kunipa salute juu mi ni wa kwanza we utabaki kuwa nyuma
 
We endelea kukimbia bila kujua unakoelekea

Mistari ni kuntu sio nisaidie kushare

Hapa ni maji marefu kina so chakuogelea

Huu msosi wa moto tafuta viporo vya kuchezea
Mzee nikishika maiki hautambi,
Mistari ya utamu mtamu kama mayai na tambi,

Beat na kiki kali ka mzuka wa Jidenna kwa Bambi,

Humu ndo mistari tata imepiga kambi,

Kichwa kimejaa lyrics mwana breki hazikabi,

Madada kaeni pembeni nimeingia shababi
 
Yes, they call me Daby
Kwa Rap nipo simple/

Valentina ananiita hubby
Unataka battle hunahata wimbo?/

Ubingwa ni wangu
Wahi chimbo ukauze na machangu/

Japo narap kwa hamu
still nawaona floppy kaa Ram/
i will show you mi ni master plan we andaground sitaki utani


unapepo la ukosefu kwenye uandishi hiki kitanzi kishakukaba shingoni

dream big ni za kwangu zako little nakuziba nakufunua kwa battle nishakuvesha mini


still nitabaki kuwa huu uwanja ni wangu we zero kimwali inabidi urudi kibindoni
 
we ni baby mama mi ndiyo kong fu master nakutich nana kutoa kwenye chain ya zako drama


kapuku kinyesi upo soft kimdebwedo wanakubonya ile kinoma


usilete ulele dada utapotea mdogomdogo bora uwe kimya na uanze kuungama


link yako imevuja low capacity na hiyo speed yako ya kobe kamwe hunifikii hii ni level Ya duma


najua akili yako ishanivulia kofia na kunipa salute juu mi ni wa kwanza we utabaki kuwa nyuma
Dogo baada ya kipigo leo umerudi tena,

Jikaze ila kama kawa nakutoa na knockout ya mapema,

Nakaza mistari kama ninavyokaza mzawa wa mzaa chema,

Dogo endelea kukimbia mi siyo mtu mwema,

Umekuja kushindana mbio wakati kwa lyrics we kilema
 
Dogo baada ya kipigo leo umerudi tena,

Jikaze ila kama kawa nakutoa na knockout ya mapema,

Nakaza mistari kama ninavyokaza mzawa wa mzaa chema,

Dogo endelea kukimbia mi siyo mtu mwema,

Umekuja kushindana mbio wakati kwa lyrics we kilema
kichwa changu ni medcine nakutibu we mgonjwa kiakili haupotimamu


ubize ndiyo unaonifanya nisiwe na time ya kutokuwepo humu

nahisi wew ni jobless kula kwa baba na mama ngoja leo nikupe elimu


hata robo hauniwezi mi kiwango mwenye ubora we kiraka usiyeijua main stream


mi kibaka nakubaka kwa uandishi yakinifu we kimeo maisha yako hayana future dream


utaishia kujifariji na kujipodoa nyuso yako kutwa nzima kwenye kioo kaa kimya mpaka cream


mi ni bardware we soft siwezi kujicompare nawe upo mwepesi kama viungo vya demu
 
Eyoo naficha uso ka frasha/
Nilivyo na doo nafanya shopping engarasha/

Kwa habari nawapasha/
Mshakuwa wawet kama mvua ya rasharasha/

Kwa jiwe moja naua pacha/
Naimpress mpaka west muulize hata kadarshan/
Me naitwa form1,we uko form ngapi/
Napiga hadi kijapani,we unabonga lugha ngapi/
Nakunya hadharani,wakizingua kwani sh ngapi/
Hao wakali wakaliman,walishakua wakali wapi/ haha

Rhyme rhyme before rhyme rhymes you
 
kichwa changu ni medcine nakutibu we mgonjwa kiakili haupotimamu


ubize ndiyo unaonifanya nisiwe na time ya kutokuwepo humu

nahisi wew ni jobless kula kwa baba na mama ngoja leo nikupe elimu


hata robo hauniwezi mi kiwango mwenye ubora we kiraka usiyeijua main stream


mi kibaka nakubaka kwa uandishi yakinifu we kimeo maisha yako hayana future dream


utaishia kujifariji na kujipodoa nyuso yako kutwa nzima kwenye kioo kaa kimya mpaka cream


mi ni bardware we soft siwezi kujicompare nawe upo mwepesi kama viungo vya demu
Kimistari we Kayumba utabakia hapa hapa,

Hauna vina unayumba kama matusi ya Mkapa,

Mistari imejaa pumba haiwezi shindana na gangster rapa,

Mistari umeijaza shombo na shobo za choko kaoge,

Mistari yako midogo ni robo kutusua labda uloge,

Natishia amani kwa punch na pumzi mambo yako mchafu koge,
 
Nipo ndani ya basi naelekea K koo,

Mbuzi unaniquote na mistari ya kibishoo,

Nakutoa knockout kwa punch mi ni soo,

Dogo Lusematic karibu unyonye mb..
 
Back
Top Bottom