JF Hip-hop frestyle battle

JF Hip-hop frestyle battle

Eyoo naficha uso ka frasha/
Nilivyo na doo nafanya shopping engarasha/

Kwa habari nawapasha/
Mshakuwa wawet kama mvua ya rasharasha/

Kwa jiwe moja naua pacha/
Naimpress mpaka west muulize hata kadarshan/
Mkuu kumbe huvumi ila umo.
 
Kazi ikawa kazi wana wakaioga shughuli,

Mistari ikamwaga radhi na lugha za kifedhuli,

Mc's nikawafunga shazi vichwani mwao sifuri,

Am so hood nlishapigwa mhuri.
 
Kazi ikawa kazi wana wakaioga shughuli,

Mistari ikamwaga radhi na lugha za kifedhuli,

Mc's nikawafunga shazi vichwani mwao sifuri,

Am so hood nlishapigwa mhuri.
I ain't that shit
they call me super D /

Some said I couldn't this
wana shangaa naongeza Bi--Di/

Nipo mbali saana buda
Watai wakiniona wanaingiza njeve/

Pembeni nipo na huddah
Toto nyuma chura kwa mkebe/

Nawapop tu boi
Wanavyochok kaa chipsi funga/

Shingoni kiara na kikoi
Wanapata wivu mimba zimetunga /
 
I ain't that shit
they call me super D /

Some said I couldn't this
wana shangaa naongeza Bi--Di/

Nipo mbali saana buda
Watai wakiniona wanaingiza njeve/

Pembeni nipo na huddah
Toto nyuma chura kwa mkebe/

Nawapop tu boi
Wanavyochok kaa chipsi funga/

Shingoni kiara na kikoi
Wanapata wivu mimba zimetunga /
Mtoa zawadi umejichomeka acha nikuangushie jumba,

Nna hasira umesepa nikayakosa mavumba,

Kwa hizo lyrics laini battle na mimi? Mzee baba utayumba,

Mistari isiyozaa vina ni shit umeivika ugumba,

Safari hii kama zawadi sipati basi nitaondoka na mchumba.
 
Mtoa zawadi umejichomeka acha nikuangushie jumba,

Nna hasira umesepa nikayakosa mavumba,

Kwa hizo lyrics laini battle na mimi? Mzee baba utayumba,

Mistari isiyozaa vina ni shit umeivika ugumba,

Safari hii kama zawadi sipati basi nitaondoka na mchumba.
we na daby wote ni kutu mmeshaoza mna speed ya konono

boy unajipa ubingwa wakati we bado bikra mim ndiye nitakaye kufunua hiko kiuno

mi jasusi nimerudi kukurubuni na kukuchapa kipigo takatifu mixer kukuunguza kwa tope la volcano

nilishakuambia hauwezi kitu unajikaza wakati umeshakazwa ndani ya usingizi we pono

bado upo nyuma kimitindo mchafu kuoga kila siku na isitoshe we ni mgonjwa mwenye gono
Mkuu kumbe huvumi ila umo.
 
Mtoa zawadi umejichomeka acha nikuangushie jumba,

Nna hasira umesepa nikayakosa mavumba,

Kwa hizo lyrics laini battle na mimi? Mzee baba utayumba,

Mistari isiyozaa vina ni shit umeivika ugumba,

Safari hii kama zawadi sipati basi nitaondoka na mchumba.
Castr stay intact
I'm ready to catch this mission/

Let eye be contact
Or You'll die, that's caution/

Naspit kwa speed
Pressure inapanda umepata BP/

Shoutout sisy espy
Get package usisingizie MB/

Hii kitu kitambo
Enzi tunacopy ng'ambo/

Leo mmejaa michambo
Battle wengi mnnanyea rambo/
 
Yooo yooo yooo

Ndani ya jf kumejaa mathinkers, lakini wanamezwa na masinkers

Unaweza uliza swala na maana, lakin unaonekana una laana

Thread za pumba, ndio zinatambaa

Hivi wana jamvi mmejiuliza, kwann mnapenda kujadili mauzauza?

Bongo tuna rais wa ujenzi, hata nzi akiacha ujinga asali hatengenezi?

Viongozi nao wanataka miongozi, najiuliza hawajui uongozi?

Jf ndio nyumbani, ndio wangu wa wa ubani!
Well done
 
Castr stay intact
I'm ready to catch this mission/

Let eye be contact
Or You'll die, that's caution/

Naspit kwa speed
Pressure inapanda umepata BP/

Shoutout sisy espy
Get package usisingizie MB/

Hii kitu kitambo
Enzi tunacopy ng'ambo/

Leo mmejaa michambo
Battle wengi mnnanyea rambo/
My kaka ndio vitu gani hivi!!!
 
we na daby wote ni kutu mmeshaoza mna speed ya konono

boy unajipa ubingwa wakati we bado bikra mim ndiye nitakaye kufunua hiko kiuno

mi jasusi nimerudi kukurubuni na kukuchapa kipigo takatifu mixer kukuunguza kwa tope la volcano

nilishakuambia hauwezi kitu unajikaza wakati umeshakazwa ndani ya usingizi we pono

bado upo nyuma kimitindo mchafu kuoga kila siku na isitoshe we ni mgonjwa mwenye gono
Yes, they call me Daby
Kwa Rap nipo simple/

Valentina ananiita hubby
Unataka battle hunahata wimbo?/

Ubingwa ni wangu
Wahi chimbo ukauze na machangu/

Japo narap kwa hamu
still nawaona floppy kaa Ram/
 
we na daby wote ni kutu mmeshaoza mna speed ya konono

boy unajipa ubingwa wakati we bado bikra mim ndiye nitakaye kufunua hiko kiuno

mi jasusi nimerudi kukurubuni na kukuchapa kipigo takatifu mixer kukuunguza kwa tope la volcano

nilishakuambia hauwezi kitu unajikaza wakati umeshakazwa ndani ya usingizi we pono

bado upo nyuma kimitindo mchafu kuoga kila siku na isitoshe we ni mgonjwa mwenye gono
Hizi lyrics na mistari shit ya vyeti vya bashite,

Freestyle haina afya ni lazima nikupite,

Nakupa kipigo hevi fanya mpango na wengine uwaite,

Mistari umeijaza shombo na michambo ya kike,

Jikaze leta ubishi mfalme nikufirimbe.
 
Castr stay intact
I'm ready to catch this mission/

Let eye be contact
Or You'll die, that's caution/

Naspit kwa speed
Pressure inapanda umepata BP/

Shoutout sisy espy
Get package usisingizie MB/

Hii kitu kitambo
Enzi tunacopy ng'ambo/

Leo mmejaa michambo
Battle wengi mnnanyea rambo/
Bob umejichanganya na mistari komedi ya Chipukizi,

Nimezaliwa kufanya natema bars we umesizi,

Ukitaka kupona kamuombe mshana jr hirizi,

Au muite CHIKIRA MTABARI aje kunipleas,

Nikuonee huruma nisikutoe injuries leo nna hasira ka mkizi,
 
Back
Top Bottom