Swaga zimekugusa sokwe sasa unaukimbia msitu,mshanishtua Nyege acha nipande hizi K///
Hiphop mpaka rege bongoflava za dokiii//
Mc mwenye dege popote utakapogekia nakuchinja round hii//
Mzee baba safi umeibuka rukia kwenye kitanda,Ni harakati zinazofanya tusionekane,
Naona wote manguli sa kwa nini tukwepane,
Freestyle zimejaa mpaka naziacha zibanane
Ukitaka battle na unque ingia tushindane
Workout tuliwork sasa imekua gudi,Castr hizi sio workout bali ni mitindo huru,
Nafanya kidikteta mpaka utahisi mi kaburu,
Nafanya michano hadi nahisi nakufuru
Kwenye battle nipo fiti sina uoga wa kunguru
Bro mi sio young dady kuja bahati mbayaWorkout tuliwork sasa imekua gudi,
Hustling daily tryna survive am so hood,
Brazamen umejichanganya kwa huu moto umebugi,
Mistari imepoa kama wimbo wa Nensubi,
Hii mistari mikali moto juu na thamani ya madini rubi,
We bado kinda kwenye fani umekuja bahati mbaya nakutoa makusudi
Karibu bwana ndugu utuonyeshe maujuziNajaribu kuingia mi ni new kwenye uzi
Salaam kwa wote heshima sio makuzi
MAUJUZI.... yamenileta kweny nyuzi
Sina mda na makinikia mi new john abbruzi...
Kwa Hii mistari nyanya na swaga tozi za kamwambie,Bro mi sio young dady kuja bahati mbaya
Kwa ninavyo tiririka mashairi boya utavunjika taya
Na kujivunia ukongwe ni dalili za kugwaya
Nitakuponda kivina ka katuni za baba ubaya
Wageni wanakukosha mpaka unakubali sio mbaya
Safi umeingia kaza ulete changamoto,Najaribu kuingia mi ni new kwenye uzi
Salaam kwa wote heshima sio makuzi
MAUJUZI.... yamenileta kweny nyuzi
Sina mda na makinikia mi new john abbruzi...
ni vyema nianze na karibu mtu mzimaNgoja nijaribu kuchana, japo siyo mzoefu sana
Uzi umebamba sana, michano ya kila namna
Niseme asante sana, kwa daby na huyo mwana
Mnajua kuweka vina, vyenye ladha ya kila aina
Jf naipenda sana, japo nipo toka mwaka jana
Sina mengi ya kusema, kichwa kimechoka sana
Napenda kusema tena, daby shukran sana
Nimeshiba mistari soon nitatapikaKwa Hii mistari nyanya na swaga tozi za kamwambie,
Ugumu wa hii mistari kazi kali lazima nikufanyizie,
Mzee na kutoa machozi Jay dee akasingiziwe,
Ngoja uoge nakozi kisingizio ukongwe braza fanya ukimbie,
Punch baada ya punch kaza angalia usilie