Hahahahaha mwingine huyu hapa kaukanyaga moto/Unakimbiwa na ma lena
acha fundi nkutatue
mkali wa hz kaz
JF nikisanue,
nawakilisha MMU
sio mayoung ,watu wazma
huwez batle nami
so bro natunza heshima
Nawakilisha streets na hustlers we mchumba kaa kushoto/
Hii ni bonge la deal hauwezi we bado mtoto/
Acha fyoko/
Unaropoka ropo/
Mfuate Vic kimani mkacheze Porokoto/
