JF Hip-hop frestyle battle

JF Hip-hop frestyle battle

Round one battle
Castr vs merengo90.

Ok twendeni round two.
Ok round za washkaji zote mbili ni hizi hapa chini. Mpigie kura kwa kummention unayehisi ni mkali kati yao wawili.

Topic ilikuwa Ban .piga kura tumpate mshindi ashiriki round nyingine na wachanaji wengine. Karibuni
Hahaha kama mpoto??
Kumbe bado unaakil za kitoto.
Hapa unajikomaz ukitak nami batle,

Hiv last time lini ulipigwa ban?
Maan una mwaga pumba hum jukwaani,
Mods plz njoon mseme huyu nijibu kama nani,

Apigwe bani, mkishndwa simba nitoke mbugani,

Nipige claw mbili atoke povu agongwe ban,

Kwani bei gan?
Watot kama nyie huwa shindani,
Nawaweka darasani, nawafundisha kwa kurasa tena za mwanzoni,

Nahis umekaa na peni unafatia taratibu tena kwa umakani,
Maan hata ulikuwa hujui nini maan ya ban,

Nimebeba point zangu nasepa mkanda begani

Asubuhi na mapema nazama kati jf,

Majukwaa yanastuck pm hazisomi au mtandao f?

Naingia kwa id nyingine naona hii imeshushiwa rungu,

Jana nilimquote mtu kisha nikaandika kizungu,

Kimejaa matusi ya kibabe zaidi ya superpower Magu,

Ila fresh haina noma ikaja ikafunguliwa,

Mbona walikoma jukwaa la kulalamika nikalivamia,

Nikaandika maneno mengi kwa mamods wa jf,

Ban mliyonipiga siku yangu niliiona ndefu, nmekosa tag ya washkaji na vimwana maelfu,

Katokea mmoja akasema nizingatie sheria, nikamjibu unazingua mbona kun watu mnawabeba,

Hawajawahi kupigwa ban hata wakimwita harmorapa kijeba,

Mara kaingia boniuso akanipondea, anashangaa kwanini sikupigwa ban mapema,

Nikamwambia we ni k, pale pale nikagewa nyingine tena
 
Haha... wana wanabattle ngoja wamalizie round ya mwisho tuwapigie kura.
huo ni utani uletwao mbele za watu... ni tangu lini demu shunie akasimamia chafu tatu... sawa na james mautamu kumtia mimba sepetu... ah ah sitaki kisirani wala sina kwere na mtu... sina dharau asilani wala mi si mtukutu.
 
Unahubiri flow shitty Harmorapa kasingiziwa,

Umezunguka unanuka usnitch Steve kasingiziwa,

Una arosto na hizi lyrics Chid Benz kasingiziwa,

In a beast mode Babuu akakimbia
Arosto naijua mm we bado mchumba.. hii ni bum baah endelea na akadumba.. niko imara miaka mia.. unakaza kila beti mwenzio natania.. natoboa kila Leo.. Nakuzika kiimani na kiupeo..
 
Asubuhi na mapema nazama kati jf,

Majukwaa yanastuck pm hazisomi au mtandao f?

Naingia kwa id nyingine naona hii imeshushiwa rungu,

Jana nilimquote mtu kisha nikaandika kizungu,

Kimejaa matusi ya kibabe zaidi ya superpower Magu,

Ila fresh haina noma ikaja ikafunguliwa,

Mbona walikoma jukwaa la kulalamika nikalivamia,

Nikaandika maneno mengi kwa mamods wa jf,

Ban mliyonipiga siku yangu niliiona ndefu, nmekosa tag ya washkaji na vimwana maelfu,

Katokea mmoja akasema nizingatie sheria, nikamjibu unazingua mbona kun watu mnawabeba,

Hawajawahi kupigwa ban hata wakimwita harmorapa kijeba,

Mara kaingia boniuso akanipondea, anashangaa kwanini sikupigwa ban mapema,

Nikamwambia we ni k, pale pale nikagewa nyingine tena
Mmmh ww mtoto umeanzwa kuwashwa.
Nilikupa vyeo ila nimenza kuku shusha .

Hata hujapat ban, siku nzima unaruk ruk jf
Wakat wenzako tulikuww job tunasak life

Ume nichokoza, hiz ndio zang replay....
Haha ulivyo fala c mda utajifny unatema mayai
 
Arosto naijua mm we bado mchumba.. hii ni bum baah endelea na akadumba.. niko imara miaka mia.. unakaza kila beti mwenzio natania.. natoboa kila Leo.. Nakuzika kiimani na kiupeo..
Nimekupa flow kali ukakimbilia kulike,

Mi ni mc hatari jtahd uwe srias,

Mistar inajeruh km jeraha la risasi,

Sasa hivi niko fast namuwah Merengo,

Nilshakutoa knock out si unaona mapengo?
 
fake emcee huyo.
Who is a fake mc?/
Just speak true na sio Ku dis/
And who are you to judge?/
Tell me why coz I'm angry/
Usiongee vitu vyenye huvijui/
Tangu lini tangu Lin katambili ikapigwa kiwi?/
 
Mmmh ww mtoto umeanzwa kuwashwa.
Nilikupa vyeo ila nimenza kuku shusha .

Hata hujapat ban, siku nzima unaruk ruk jf
Wakat wenzako tulikuww job tunasak life

Ume nichokoza, hiz ndio zang replay....
Haha ulivyo fala c mda utajifny unatema mayai
Dogo umetajwa kwa mfano umeingia mzima mzima,

Ngoja nikupe kibano ujifunze adabu na heshima,

Hizi kazi kali blast kubwa kama hiroshima,

Haya nyanyuka nmekusamehe usrudie tena,
 
Mtoto kalilia rung, acha nimsugue harder
Mim bashite, hukai mjn kama muuza powder

Dogo han nizamu, acha atiwe makonz
Mods msiingie hauwahus huu ugomvi.

Alicho kiomba, mda huu ndio anakipata,
Mi paka we panya, chek mkia ulivyo fyata
 
acha nibonge tyu, caz nin vina exterem.
Hatutak ban, huw inatukat steam

Mods pia mna kosea, sema tunakaushia
Tupen na sis uwezo muone nin tutawafanyia.
 
Mtoto kalilia rung, acha nimsugue harder
Mim bashite, hukai mjn kama muuza powder

Dogo han nizamu, acha atiwe makonz
Mods msiingie hauwahus huu ugomvi.

Alicho kiomba, mda huu ndio anakipata,
Mi paka we panya, chek mkia ulivyo fyata
Kabla hujakimbia nakupa cha kukusindikiza,

Mi msitu wa vina mnene huon ktu labda giza,

Nakupasua makende wenzako wanasikiliza,

Wanaijua hii habari deile inawaumiza.
 
Dogo umetajwa kwa mfano umeingia mzima mzima,

Ngoja nikupe kibano ujifunze adabu na heshima,

Hizi kazi kali blast kubwa kama hiroshima,

Haya nyanyuka nmekusamehe usrudie tena,

Hah nimekushitua, una shituka kias hicho vipi?

Au ushabanwa kwenye kona. Na ushaachia nyeti

Dogo wew kiropo, zaid ya harmolapa

Umechagua zimwi baya, hupati kik hapa.

Mods watoen watot jf great thinker, cheki shida tunazo pata

Sem nina dawaw zao, huwa wanacho kitak nawapa
 
Kabla hujakimbia nakupa cha kukusindikiza,

Mi msitu wa vina mnene huon ktu labda giza,

Nakupasua makende wenzako wanasikiliza,

Wanaijua hii habari deile inawaumiza.
Happy 4.20 dogo , maana umesha nyeta
Unasuguliwa taratibu, lakin chek unavyo cheka cheka.

Hii halali yako, kesho ipo ukihitaj utaipata
Naona ushaanza koroma, goodbye maza fanta
 
Hah nimekushitua, una shituka kias hicho vipi?

Au ushabanwa kwenye kona. Na ushaachia nyeti

Dogo wew kiropo, zaid ya harmolapa

Umechagua zimwi baya, hupati kik hapa.

Mods watoen watot jf great thinker, cheki shida tunazo pata

Sem nina dawaw zao, huwa wanacho kitak nawapa
Oooh yea cheki mistari haina vina unavyopoteana,

Umekosea njia ulipoingia nipo mimi mnyama,

Sitak upigwe ban, natak uone ninavyofanya,

Mi ni master flow na wenzako mwanzoni walikana, sasa akili imewakaa wameshaachia walibana
 
Happy 4.20 dogo , maana umesha nyeta
Unasuguliwa taratibu, lakin chek unavyo cheka cheka.

Hii halali yako, kesho ipo ukihitaj utaipata
Naona ushaanza koroma, goodbye maza fanta
Hahaha we mtoto mdogo sana mimi siyo saizi yako,

Bado hujajua kufreestyle kawaulize kaka zako,

Ni kweli nililala limeniamsha cheko lako, nibembeleze nilale kama vip nipe tak.wapo
 
ANAYEWEZA KUSHINDANA NA MIMI ANIQUOTE ILA ASILIE

kichaa na rungu kichaa uvungu/
nipo jf usiulize mautundu
usiulize majungu
nakupaka kama mange waulize wazungu
boss la flow naflow zaid ya river
nina camp of sojaz na mwes kama kimba
ndevu niite simba
natoa knock out ka slice niite kimbo kinga
janja la wajinga zee la kutinda
nikifinda nawinda maujinga nayageuza maujanja
flow beberu na makazi chikago
zoom baby look damn nikupe kisago
nakimbiza ka bolt
nakushona ka boriti
nakukaza kama nati
nakuficha kama noti
hii sio boti ni game beach buggy biltz
fix hizi

me ndio jogoo la shamba nawika mpaka PANDE HIZI
 
ANAYEWEZA KUSHINDANA NA MIMI ANIQUOTE ILA ASILIE

kichaa na rungu kichaa uvungu/
nipo jf usiulize mautundu
usiulize majungu
nakupaka kama mange waulize wazungu
boss la flow naflow zaid ya river
nina camp of sojaz na mwes kama kimba
ndevu niite simba
natoa knock out ka slice niite kimbo kinga
janja la wajinga zee la kutinda
nikifinda nawinda maujinga nayageuza maujanja
flow beberu na makazi chikago
zoom baby look damn nikupe kisago
nakimbiza ka bolt
nakushona ka boriti
nakukaza kama nati
nakuficha kama noti
hii sio boti ni game beach buggy biltz
fix hizi

me ndio jogoo la shamba nawika mpaka PANDE HIZI
Nasoma lyrics nacheka kijana una hatari,

Umeingia kwa mzuka unazuga hii ni freestyle,

Hizi ni pattern za kuandika mtindo huru hauwezi,

Kaa pembeni jifunze tutazame wabobezi,
 
Nimekupa flow kali ukakimbilia kulike,

Mi ni mc hatari jtahd uwe srias,

Mistar inajeruh km jeraha la risasi,

Sasa hivi niko fast namuwah Merengo,

Nilshakutoa knock out si unaona mapengo?
Mapengo na pengo la kadinari.. Michano yangu kitisi wanasema ni kamari.. Tega sikio nikupe maarifa na sio taarifa ya habari.. Niki-like nimependa.. Ukipenda pia nakutenda.. Sikupi ngawila nakupa denda.. Mtt Mdogo kaa kimya nitakubemenda
 
Back
Top Bottom