JF Hip-hop frestyle battle

JF Hip-hop frestyle battle

Hua mnaniacha domo wazi kwa hii mada ya MMU/
Inanitia simanzi sababu najua hili ni moja ya source ya VVU/
Daby ntakuona michoxho km umemaind mi kusema ukweli huu/
Mwixho wa yote nasema asante na kumshukuru alie juu/
hizo xx zako badala ya s zitakukosesha point
 
Eyoo kwanz ntakonda nikipewa bun.
Kwan vip kila mtu c lazm atoe la moyon
Nyie mods punguzen wenge na utan
Tuna uhuru wa kuongea since 19 sixty one.
Mkinitoa nabadir id, kama kawa naingia mzigon
 
hahahhh kachanwa wapi huko
Anapajua haaaa,haaaa Kuna thread huko Inayosema Mambo ya kipumbafu humu JF wamemchana Anaanzisha Uzi halafu ana log in kwa ID nyingine na kujipinga na kujipongeza na kuji like haaaa,haaaa
 
Na spit madini ghali lugha kali nakimbiliwa na ban,

Naikwepa fasta kama miss chagga kwa broke man,

Nacheki hiyo mikwara naipangua naruka mpaka ndani,

Nimejaa tele Michael Joshua nakungoja nikupe freestyle burns,
Dude una spit nin unaongea kitu gan?
Umewajuza wako hadhil nin maan ya bani?

Ngoja nkuonyesh tunavyo fany ma gentlemn

Naanzaj kumsf aliye bun Ban,
Kwa wanao jiuliza ban ni kitu gan

Ni kufngo kam kil cha urain
Kupnguz matus n bif jukwaani
Pia inaongez busara na umakin
Na conctretion kweny mada mezani

Let stress zak za nyumban unakul ban
Demu kakotosa unatoa pov unakul ban
Nenda jukwaa la sias mdis Bashite ule Ban, hahaha ni huuu ni utani

Kwa kifup hii kitu hain mwenyw
Cheza na mods wakugombanie kam sandakalawe
Una kumbuk fikz za Supu ya mawe?
 
Acha utani aisee!!!

Sema nini hebu naomba uniambie mtu akipigwa ban anaweza kulog in ila akakuta ndiyo kapigwa ban au inakuaje.

Simaanishi wewe ni mzoefu wa ban mkuu
analog in anakutana na ban
 
Back
Top Bottom