Dude una spit nin unaongea kitu gan?
Umewajuza wako hadhil nin maan ya bani?
Ngoja nkuonyesh tunavyo fany ma gentlemn
Naanzaj kumsf aliye bun Ban,
Kwa wanao jiuliza ban ni kitu gan
Ni kufngo kam kil cha urain
Kupnguz matus n bif jukwaani
Pia inaongez busara na umakin
Na conctretion kweny mada mezani
Let stress zak za nyumban unakul ban
Demu kakotosa unatoa pov unakul ban
Nenda jukwaa la sias mdis Bashite ule Ban, hahaha ni huuu ni utani
Kwa kifup hii kitu hain mwenyw
Cheza na mods wakugombanie kam sandakalawe
Una kumbuk fikz za Supu ya mawe?
Asubuhi na mapema nazama kati jf,
Majukwaa yanastuck pm hazisomi au mtandao f?
Naingia kwa id nyingine naona hii imeshushiwa rungu,
Jana nilimquote mtu kisha nikaandika kizungu,
Kimejaa matusi ya kibabe zaidi ya superpower Magu,
Ila fresh haina noma ikaja ikafunguliwa,
Mbona walikoma jukwaa la kulalamika nikalivamia,
Nikaandika maneno mengi kwa mamods wa jf,
Ban mliyonipiga siku yangu niliiona ndefu, nmekosa tag ya washkaji na vimwana maelfu,
Katokea mmoja akasema nizingatie sheria, nikamjibu unazingua mbona kun watu mnawabeba,
Hawajawahi kupigwa ban hata wakimwita harmorapa kijeba,
Mara kaingia boniuso akanipondea, anashangaa kwanini sikupigwa ban mapema,
Nikamwambia we ni k, pale pale nikagewa nyingine tena