JF HARDtalk na "Mshana JR"

JF HARDtalk na "Mshana JR"

Mimi sio mchawi na sijawahi kuroga lakini ili kufikisha ujumbe ilinibidi kuvaa uhusika... Nina elimu kubwa na ufahamu juu ya uchawi ushirikina na ulozi hivyo najua ninachomaanisha

Jr
Nn kinakufanya ujutie ambacho umefanya kwa msaada wa uchawi au haujafanya ila unatamani ungefanya ?. Kwa uchawi au hiyo elimu yako ya ulozi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom