JF hamjambo?

Jana ulimfanya nini yule nayem-ignore?
Mbona alirudi home shati halina vifungo?
Afu anaweweseka
Hahahahaha, mi chimo... I think he was not good jana.
Well, I am not sure we are talking about the same person
But wote wa2 were not good jana. Huyo wako na muuza pet.
 
Mwali

As for Muuza pet, I understand, ni sababu ya the mess you have created baada ya mtakatifu kuja
But the other one, mlikuwa na petiana petiana kitu gani?

Hahahahaha, mi chimo... I think he was not good jana.
Well, I am not sure we are talking about the same person
But wote wa2 were not good jana. Huyo wako na muuza pet.
 
Last edited by a moderator:
mkuu wangu Katavi mali zangu hazipo salama kabisa binadamu bwana hawana huruma.ila ndio natafuta watu wangu wa karibu tuanzishe maandamano mpaka kieleweke .ufisadi siku hizi unaingia hadi kwenye ndoa za watu si ni hatari hii mkuu wang Katavi?

Katavi ufisadi ulianzia kwenye ndoa huo mwingine ni kopi tu
 
Last edited by a moderator:
S[SUP]2
[/SUP]nipo habari kwako? nipo nazungukazunguka naangalia nichakachue thread ipi hapa!!
 
Mwali

As for Muuza pet, I understand, ni sababu ya the mess you have created baada ya mtakatifu kuja
But the other one, mlikuwa na petiana petiana kitu gani?
Alikwambia alikua na mimi? uongo kabisa
Mi hata sijamuona toka birthday yake
Atakua na Condolesa Rice somewhere...

Sasa huyo mfuga mbwa mbona kasheshe?
Nani alimwambia kua Ivuga karudi?
 
Duh, kafika huko tena?
Basi itakua kazi sana.

Sijamwambia kitu muuza mbwa
Ila lazima uanze kupanga majibu in case akiona
Si unajua first mention says a lot.

Alikwambia alikua na mimi? uongo kabisa
Mi hata sijamuona toka birthday yake
Atakua na Condolesa Rice somewhere...

Sasa huyo mfuga mbwa mbona kasheshe?
Nani alimwambia kua Ivuga karudi?
 
Duh, kafika huko tena?
Basi itakua kazi sana.

Sijamwambia kitu muuza mbwa
Ila lazima uanze kupanga majibu in case akiona
Si unajua first mention says a lot.
Sijui kwa nini Saint Ivuga karudi so soon kwa kweli.
Ataharibu mpango mzima, and I took so long kupanga...
Sijui nipotee kwa muda (kama a week or two hivi)?
 
Last edited by a moderator:
Is it? Mbona hamjafanana kitabia? :suspicious:

elezea tabia ya mmoja mmoja hapa uone kama hatufanani...huyu ndugu yangu kabisa kama ulikuwa hujui,ila soon nitakutambulisha rasmi.
 
Duh, kafika huko tena?
Basi itakua kazi sana.

Sijamwambia kitu muuza mbwa
Ila lazima uanze kupanga majibu in case akiona
Si unajua first mention says a lot.

yaani we kongosho nakupenda sana enhe!! kuna mchawi inabidi nimuandalie operation sangara
 
Sijui kwa nini Saint Ivuga karudi so soon kwa kweli.
Ataharibu mpango mzima, and I took so long kupanga...
Sijui nipotee kwa muda (kama a week or two hivi)?

a-a-a sasa Mwali unavyotaka kufanya sio fresh..mimi huku nipokuwa roho yangu ilikuwa hai jaseto kabisa every time mapigo ya moyo yalikuwa yanaongeza spidi na nilijua tu lazima kuna kitu
 
Last edited by a moderator:
Shkamoo Uncle. Mi sijui Ivuga alikua wapi,
nimemuona tu kaibuka na thread eti anataka ripoti
Hivi Uncle kuna mahari toka kwake mlipokea bila kunambia?

Marhabaaa Mpwa....mahari imetolewa ila ya pili tutapokea pia....haina matatizo kabisa!
 
Marhabaaa Mpwa....mahari imetolewa ila ya pili tutapokea pia....haina matatizo kabisa!
But Uncle Kaizer... I am not in love with Ivuga...
Mrudishieni mahari yake please, au nitatoroka!
 
Last edited by a moderator:
jombaaaa..hatuendi kupiga pombe leo?..nilijua kwenye machimbo shimo limetema ndio nimerudi na hapa ndio najiandaa kuja kwenu kumchuku Mwali najua aunt atakuwepo.


Jombaaa leo inahusu sana baada ya jana kuwapiga Barca..sasa wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…