JF hamjambo?

waaaat?...nilitaka nikae kimya leo..niwe mzee wa chabo tu...ila kwa chupa hizi...nimefurahi...SI welcome back!...
Hureeeeeeeeeeeeeeee BAGAH in da house!
Dogo nilikumiss sana kijana wangu....vipi mzima?
 
Last edited by a moderator:
ngoja sie vijana wadogo tutu mie za kutufaa
mountain_dew-400-400.jpg


au hii

Juice.jpg
 
Hahahahahaaaa nakumbuka na tulikukatalia kabsaa ila kwa sasa inaonekana ni muhimu sana sema implementation yake ni kubwa yaweza kuwa module mpya kabisa kwenye development.


enheeee.... Sasa tuandamane kuiomba?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom