Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Mzee mwenzangu hii ndo fursa ya kujipatia vimchepuko. Mi niko bize nahaha kutafuta jeans lililochanika gotini.Haya masuruwale ya vitambaa na mashati mekundu na njano tunaweza kutoka bilabila wallahLive band: Tanzania yetu ndiyo nchi ya furaha.
Dereva wa mkuu wa mkoa atakuwepo!
Madame B kumbatio la chumvini je?