Ha ha ha haNatamani yapigwe marufuku teh teh, iwekwe sheria mtu akikutwa na wigi mtaani akamatwe , kofia zitauzika sana aseeh
Okay
Ila mchango ndio muhimu
I'll be there....
Couple shingap?
Hahaha wazeee wa nyegezi. Nyinyi wasafi festival inawatosha.Vipi kuhusu sie tuliopo mikoani, ama ndo tumemalizana na Fiesta!?
Hahahaaaaa..... Hata mie naona, tusubiri wazee wa Nyegezi tu maana hatuna namna.Hahaha wazeee wa nyegezi. Nyinyi wasafi festival inawatosha.
Longtime saana ndugu. How are u
Hiyo party sichangii na sitakaa nihudhurie