Soulbrother
JF-Expert Member
- Apr 14, 2009
- 405
- 17
Hakuna kitu inaitwa soo,tena ukinichanganya nitakupa ndoo
kughani hakuna veterani,kughani ni kipaji ulichonacho
unaweza kujiona veterani,kumbe watu anakuona tu bishow
i am always top of the top,na ndomaaana kila siku napata shows
mi ni mkalizaidi ya taisoni,na kwenye hili gemu nitatoa somo
Naona unakuja, lakini bado umbali
uso wako umekunja, vipi umekuwa mwanamwali
mpigie magoti jah, kabla kujibu swali
watakuja washikaji, hospitali kukujulia hali