JF FC-The Dream Team

naona first eleven imechaguliwa bila ya kuangalia viwango.Yaani hata mimi striker katika benchi sipo alafu mtu kama yoyo kapewa jezi,DUH!!!!!!!!!!!!1
 
Bila kusahau kamati muhimu sana ya ushangiliaji na upigaji vigoma vya kidedea...!

Wale wote ambao hawakuingia kwenye 1st Eleven na hawamo kwenye kamati ya ufundi wanahitajika sana kwenye kundi hili la ushangiliaji na kuipa hamasa
J-F-F-C-The Dream T. Hakuna kuchoka...!
 
Bila kusahau kamati muhimu sana ya ushangiliaji na upigaji vigoma vya kidedea...!

Wale wote ambao hawakuingia kwenye 1st Eleven na hawamo kwenye kamati ya ufundi wanahitajika sana kwenye kundi hili la ushangiliaji na kuipa hamasa
J-F-F-C-The Dream T. Hakuna kuchoka...!

JF vijambo haviishi nilipitwa na hii thread, hongera Balantanda.

Xpaster umenikumbusha yule mshangiliaji wa Reli ya Moro enzi zile aliyeitwa Yamungu. Mimi ni mshangliaji lakini hiyo JF FC ikivurunda nawazomea.
 
...Arrooo! Munareta UJangwani na Umsimbazi kwa ritimu ra Taifa?? mbona hamujachagua mchezaji yoyote kutoka ritimu ra Porisi au ra JKT? kwenda Chini Wote....!
 
...Arrooo! Munareta UJangwani na Umsimbazi kwa ritimu ra Taifa?? mbona hamujachagua mchezaji yoyote kutoka ritimu ra Porisi au ra JKT? kwenda Chini Wote....!

Hatuandai ritimu ra kwenda kwenye yare mashindano ya mageshi muraaa
 
Hii thread poa sana. Mimi naomba kuwa mkuu wa "academy" ya timu hii au "director of football". Hapo ntachagua vijana chupikizi kwa kumuiga Arsene Wenger au aka Le Professor.

Sasa mimi naona JF FC itafutiwe mechi za kujipima nguvu.

Halafu mkuu KKN, hayo masuala ya WAGS si mazuri kwani huwa wanachosha sana wachezaji.

Unajua kwamba WAGS wote wa wachezaji wa Italy waliwekwa benchi mpaka Italy ilipotwaa kombe la dunia mwaka 2006?

Natamani iombwe mechi na mafisadi tutapiga kiatu mpaka asibakie mtu.

Lol.
 
naona first eleven imechaguliwa bila ya kuangalia viwango.Yaani hata mimi striker katika benchi sipo alafu mtu kama yoyo kapewa jezi,DUH!!!!!!!!!!!!1
mkuu tunaangalia viwango uwanjani kama unaweaza kupiga vyanzu,vyobo na vyenga unakabidhiwa jezi......

Napendekeza tucheze fomesheni ya 4-5-1-1 central midifilidi 6 anakaba sana akimsaidia sentahafu huku kiungo midifilidi namba 8 akishuka chini kwenye dimba dogo akikaba na kutumbukiza mipira kwa left,right wings na kwa......

.......wings zoote kazi yao ni kushuka kusaidia full beki rights na left kukaba na kupandisha mipira kwa central foward namba 10 ambae yeye aanachukua mipira na kunipa mimi ambae sifanyi ajizi kuwainua wapenzi.....fomeshinei hii ni nzuri sababu watu 9 kwa pamoja wanashuka na kupanda kwa pamoja.....
 
Last edited:
The thing is,make it happen au mnasemaje jamani?Kwasababu faida za michezo kila mtu anazijua siyo unabuni/tunabuni kitu halafu kinaishia kubakia katika maandishi;tutekeleza ili watu waone kitu halisi na wafaidike nacho kwa upande mwingine.

Balantanda amekuwa creative kwenye hili kimawazo kutokana alivyowasoma wana JF mbalimbali. Ila to make it happen,sidhani kama itatokea!

Ndo mana amesema JF FC-The Dream Team!........
 
Dah,chama langu naona linaelekea Kibra now(limelala sana)..Itabidi tuanze mazoezi ya kufa mtu kujiandaa na WC mwakani...Meneja na Wasaidizi mpooooooooo??
 
Tupo holiday tunasubiri next season but kuna wachezaji viwango vimeisha inabidi waachwe
 
Baada ya Stars kutolewa nimeona ni bora tuanzishe Stars yetu mbadala ndani ya JF ambayo nina uhakika hata ikienda Bondeni mwakani lazima kombe la Dunia lije Bongo......Timu hiyo ni kama ifuatavyo: 1.Share…..(Huyu bwana nimeangalia kwenye ile thread ya CHAN Live alikuwa upande wa Dihile sana,hope atatusaidia sana golini,atakuwa kama Juma Pondamali vile).
2.Shadow(Huyu yeye namfananisha na David Mwakalebela yaani).

3.Mwazange(Huyu atatupa vitu vya mzee mzima Alphonce Modest).

4.Bubu Ataka Kusema( mkoba wenyewe huu kama Salum Kabunda ‘Ninja').

5.Belo( Hiki ni kisiki kama George Magere Masatu).

6.Invisible(Huyu ni Kiungo mkabaji mithili ya Hayati Method Mogella ‘Fundi,yeye ndiye Nahodha wa JF FC).

7.Masanilo( Winga tereza wa upande wa kulia,yeye anacheza kama Abubakar Salum ‘Sure Boy').

8.Mfumwa(Huyu ni kiungo mshambuliaji yeye atacheza mithili ya Hussein Aman Marsha).

9.YoYo(Huyu ni mshambuliaji wa kati mwenye uchu wa magoli mithili ya Zamoyon Mogella,tutegemee magoli mengi jamani).

10.Hofstede(Atamsaidia YoYo pale mbele kumalizia mipira ya vichwa itakayotoka winga za pembeni,pia atamalizia krosi,atacheza kama Abeid Mziba ama Innocent Haule).

11.Icadon(Winga ya kushoto huyu,yeye atacheza kama Edy Lunyamila).


Reserves: Mkama P(GK),Mzalendo Halisi,Amwanga,Kana Ka Nsungu,KGM,Invincible,Alpha na Pasco…


Manager wa timu atakuwa Nziku akisaidiwa na mzee mzima Ben na YourNameIsMine(kocha wa makipa).


Kamati ya Ufundi itaongozwa na Mzee Mwanakijiji akisaidiwa na Mzee wa Gambosh Nyani Ngabu,wajumbe wengine wa kamati watakuwa ni: Rev.Kishoka,Mkandara,FMES,Kuhani,Mkandara na Mpaka Kieleweke.


Kamati ya saidia JF FC ishinde itaongozwa na Mama akisaidiwa na First lady,pia watakuwepo Belinda Jacob.Kelly01,Neemah,Philemon Michael,GT,Balantanda mwenyewe,Susuviri ,Son of Alaska,Mtanzania,Nyambala,Mwikimbi,Mbu na Maxence Mello…

akili yako fupi kama mashabiki wa SIMBA
hivi unaelewa maana ya KAMATI YA YA UFUNDI au basi tuuu

Hivi kati ya hao watu wa Ulaya na USA ULIOWATAKA HAPO JUU NANI YUKO TAYARI KUMNYONGA MWANAE ILI TUMU YA JF ISHINDE?

nadhani hiyo kamati ingeongozwa na MSWAHILI na labda kwa mbaali ENGINEER MOHAMMED labda
 
akili yako fupi kama mashabiki wa SIMBA
hivi unaelewa maana ya KAMATI YA YA UFUNDI au basi tuuu

Hivi kati ya hao watu wa Ulaya na USA ULIOWATAKA HAPO JUU NANI YUKO TAYARI KUMNYONGA MWANAE ILI TUMU YA JF ISHINDE?

nadhani hiyo kamati ingeongozwa na MSWAHILI na labda kwa mbaali ENGINEER MOHAMMED labda
ulitakiwa useme akili yake fupi kama mashabiki wa ARSENALI
 
Sina doubt kwani Mfadhili wa Timu au tuseme mmiliki wa timu mkuu Balantanda amepanga timu makini hivyo sina hofu ya ushindi.

JF-FC idumu (prost) means cheers
 
Mimi nitakuwa manager wa masoko na ufadhili, kazi nimeishaianza hata kabla hamjanipa kura za ndio, kampuni ya CASPIAN wamejitolea kwa JEZI, IPP watamlipioa coach na Yusuph Manji atatoa magari kwa ajili usafiri, Vodacom watatoa simu za bure kwa wachezaji na mashabiki,.kazi bado inaendelea.
 
Baada ya Stars kutolewa nimeona ni bora tuanzishe Stars yetu mbadala ndani ya JF ambayo nina uhakika hata ikienda Bondeni mwakani lazima kombe la Dunia lije Bongo......Timu hiyo ni kama ifuatavyo: 1.Share…..(Huyu bwana nimeangalia kwenye ile thread ya CHAN Live alikuwa upande wa Dihile sana,hope atatusaidia sana golini,atakuwa kama Juma Pondamali vile).
2.Shadow(Huyu yeye namfananisha na David Mwakalebela yaani).

3.Mwazange(Huyu atatupa vitu vya mzee mzima Alphonce Modest).

4.Bubu Ataka Kusema( mkoba wenyewe huu kama Salum Kabunda ‘Ninja’).

5.Belo( Hiki ni kisiki kama George Magere Masatu).

6.Invisible(Huyu ni Kiungo mkabaji mithili ya Hayati Method Mogella ‘Fundi,yeye ndiye Nahodha wa JF FC).

7.Masanilo( Winga tereza wa upande wa kulia,yeye anacheza kama Abubakar Salum ‘Sure Boy’).

8.Mfumwa(Huyu ni kiungo mshambuliaji yeye atacheza mithili ya Hussein Aman Marsha).

9.YoYo(Huyu ni mshambuliaji wa kati mwenye uchu wa magoli mithili ya Zamoyon Mogella,tutegemee magoli mengi jamani).

10.Hofstede(Atamsaidia YoYo pale mbele kumalizia mipira ya vichwa itakayotoka winga za pembeni,pia atamalizia krosi,atacheza kama Abeid Mziba ama Innocent Haule).

11.Icadon(Winga ya kushoto huyu,yeye atacheza kama Edy Lunyamila).


Reserves: Mkama P(GK),Mzalendo Halisi,Amwanga,Kana Ka Nsungu,KGM,Invincible,Alpha na Pasco…


Manager wa timu atakuwa Nziku akisaidiwa na mzee mzima Ben na YourNameIsMine(kocha wa makipa).


Kamati ya Ufundi itaongozwa na Mzee Mwanakijiji akisaidiwa na Mzee wa Gambosh Nyani Ngabu,wajumbe wengine wa kamati watakuwa ni: Rev.Kishoka,Mkandara,FMES,Kuhani,Mkandara na Mpaka Kieleweke.


Kamati ya saidia JF FC ishinde itaongozwa na Mama akisaidiwa na First lady,pia watakuwepo Belinda Jacob.Kelly01,Neemah,Philemon Michael,GT,Balantanda mwenyewe,Susuviri ,Son of Alaska,Mtanzania,Nyambala,Mwikimbi,Mbu na Maxence Mello…

Dah........Naona chama letu limefifia siku hizi........Kama vipi inabidi tufanye usajili upya na kuwaleta Galácticos....
 
Back
Top Bottom