Mr Kiroboto
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 350
- 87
naona first eleven imechaguliwa bila ya kuangalia viwango.Yaani hata mimi striker katika benchi sipo alafu mtu kama yoyo kapewa jezi,DUH!!!!!!!!!!!!1
Bila kusahau kamati muhimu sana ya ushangiliaji na upigaji vigoma vya kidedea...!
Wale wote ambao hawakuingia kwenye 1st Eleven na hawamo kwenye kamati ya ufundi wanahitajika sana kwenye kundi hili la ushangiliaji na kuipa hamasa J-F-F-C-The Dream T. Hakuna kuchoka...!
...Arrooo! Munareta UJangwani na Umsimbazi kwa ritimu ra Taifa?? mbona hamujachagua mchezaji yoyote kutoka ritimu ra Porisi au ra JKT? kwenda Chini Wote....!
mkuu tunaangalia viwango uwanjani kama unaweaza kupiga vyanzu,vyobo na vyenga unakabidhiwa jezi......naona first eleven imechaguliwa bila ya kuangalia viwango.Yaani hata mimi striker katika benchi sipo alafu mtu kama yoyo kapewa jezi,DUH!!!!!!!!!!!!1
The thing is,make it happen au mnasemaje jamani?Kwasababu faida za michezo kila mtu anazijua siyo unabuni/tunabuni kitu halafu kinaishia kubakia katika maandishi;tutekeleza ili watu waone kitu halisi na wafaidike nacho kwa upande mwingine.
Baada ya Stars kutolewa nimeona ni bora tuanzishe Stars yetu mbadala ndani ya JF ambayo nina uhakika hata ikienda Bondeni mwakani lazima kombe la Dunia lije Bongo......Timu hiyo ni kama ifuatavyo: 1.Share…..(Huyu bwana nimeangalia kwenye ile thread ya CHAN Live alikuwa upande wa Dihile sana,hope atatusaidia sana golini,atakuwa kama Juma Pondamali vile).
2.Shadow(Huyu yeye namfananisha na David Mwakalebela yaani).
3.Mwazange(Huyu atatupa vitu vya mzee mzima Alphonce Modest).
4.Bubu Ataka Kusema( mkoba wenyewe huu kama Salum Kabunda ‘Ninja').
5.Belo( Hiki ni kisiki kama George Magere Masatu).
6.Invisible(Huyu ni Kiungo mkabaji mithili ya Hayati Method Mogella ‘Fundi,yeye ndiye Nahodha wa JF FC).
7.Masanilo( Winga tereza wa upande wa kulia,yeye anacheza kama Abubakar Salum ‘Sure Boy').
8.Mfumwa(Huyu ni kiungo mshambuliaji yeye atacheza mithili ya Hussein Aman Marsha).
9.YoYo(Huyu ni mshambuliaji wa kati mwenye uchu wa magoli mithili ya Zamoyon Mogella,tutegemee magoli mengi jamani).
10.Hofstede(Atamsaidia YoYo pale mbele kumalizia mipira ya vichwa itakayotoka winga za pembeni,pia atamalizia krosi,atacheza kama Abeid Mziba ama Innocent Haule).
11.Icadon(Winga ya kushoto huyu,yeye atacheza kama Edy Lunyamila).
Reserves: Mkama P(GK),Mzalendo Halisi,Amwanga,Kana Ka Nsungu,KGM,Invincible,Alpha na Pasco…
Manager wa timu atakuwa Nziku akisaidiwa na mzee mzima Ben na YourNameIsMine(kocha wa makipa).
Kamati ya Ufundi itaongozwa na Mzee Mwanakijiji akisaidiwa na Mzee wa Gambosh Nyani Ngabu,wajumbe wengine wa kamati watakuwa ni: Rev.Kishoka,Mkandara,FMES,Kuhani,Mkandara na Mpaka Kieleweke.
Kamati ya saidia JF FC ishinde itaongozwa na Mama akisaidiwa na First lady,pia watakuwepo Belinda Jacob.Kelly01,Neemah,Philemon Michael,GT,Balantanda mwenyewe,Susuviri ,Son of Alaska,Mtanzania,Nyambala,Mwikimbi,Mbu na Maxence Mello…
ulitakiwa useme akili yake fupi kama mashabiki wa ARSENALIakili yako fupi kama mashabiki wa SIMBA
hivi unaelewa maana ya KAMATI YA YA UFUNDI au basi tuuu
Hivi kati ya hao watu wa Ulaya na USA ULIOWATAKA HAPO JUU NANI YUKO TAYARI KUMNYONGA MWANAE ILI TUMU YA JF ISHINDE?
nadhani hiyo kamati ingeongozwa na MSWAHILI na labda kwa mbaali ENGINEER MOHAMMED labda
akili yako fupi kama mashabiki wa SIMBA.....
Baada ya Stars kutolewa nimeona ni bora tuanzishe Stars yetu mbadala ndani ya JF ambayo nina uhakika hata ikienda Bondeni mwakani lazima kombe la Dunia lije Bongo......Timu hiyo ni kama ifuatavyo: 1.Share ..(Huyu bwana nimeangalia kwenye ile thread ya CHAN Live alikuwa upande wa Dihile sana,hope atatusaidia sana golini,atakuwa kama Juma Pondamali vile).
2.Shadow(Huyu yeye namfananisha na David Mwakalebela yaani).
3.Mwazange(Huyu atatupa vitu vya mzee mzima Alphonce Modest).
4.Bubu Ataka Kusema( mkoba wenyewe huu kama Salum Kabunda Ninja).
5.Belo( Hiki ni kisiki kama George Magere Masatu).
6.Invisible(Huyu ni Kiungo mkabaji mithili ya Hayati Method Mogella Fundi,yeye ndiye Nahodha wa JF FC).
7.Masanilo( Winga tereza wa upande wa kulia,yeye anacheza kama Abubakar Salum Sure Boy).
8.Mfumwa(Huyu ni kiungo mshambuliaji yeye atacheza mithili ya Hussein Aman Marsha).
9.YoYo(Huyu ni mshambuliaji wa kati mwenye uchu wa magoli mithili ya Zamoyon Mogella,tutegemee magoli mengi jamani).
10.Hofstede(Atamsaidia YoYo pale mbele kumalizia mipira ya vichwa itakayotoka winga za pembeni,pia atamalizia krosi,atacheza kama Abeid Mziba ama Innocent Haule).
11.Icadon(Winga ya kushoto huyu,yeye atacheza kama Edy Lunyamila).
Reserves: Mkama P(GK),Mzalendo Halisi,Amwanga,Kana Ka Nsungu,KGM,Invincible,Alpha na Pasco
Manager wa timu atakuwa Nziku akisaidiwa na mzee mzima Ben na YourNameIsMine(kocha wa makipa).
Kamati ya Ufundi itaongozwa na Mzee Mwanakijiji akisaidiwa na Mzee wa Gambosh Nyani Ngabu,wajumbe wengine wa kamati watakuwa ni: Rev.Kishoka,Mkandara,FMES,Kuhani,Mkandara na Mpaka Kieleweke.
Kamati ya saidia JF FC ishinde itaongozwa na Mama akisaidiwa na First lady,pia watakuwepo Belinda Jacob.Kelly01,Neemah,Philemon Michael,GT,Balantanda mwenyewe,Susuviri ,Son of Alaska,Mtanzania,Nyambala,Mwikimbi,Mbu na Maxence Mello