Hawa mabwana kilichobaki ni kuwafanyia huko huko polini.
Kama Serikali imeamua kuwakumbatia basi ,
nionacho mimi ni kujichukulia sheria mkononi ,
Liwalo na liwe kama wale wanakijiji walivyoweza kuvyeka miche ya migomba ya mbunge wao na hili la kuwa fyeka hawa nguruwe poli linaweza kufanyika.
Kwani viongozi wa kizazi hiki wana tofauti gani na akina Sultan Mangungo wa Msovero? Hebu nijuzeni wadau.
Hawa mabwana kilichobaki ni kuwafanyia huko huko polini.
Kama Serikali imeamua kuwakumbatia basi ,
nionacho mimi ni kujichukulia sheria mkononi ,
Liwalo na liwe kama wale wanakijiji walivyoweza kuvyeka miche ya migomba ya mbunge wao na hili la kuwa fyeka hawa nguruwe poli linaweza kufanyika.
kwani viongozi wa kizazi hiki wana tofauti gani na akina sultan mangungo wa msovero? Hebu nijuzeni wadau.
who the hell is this guy; DOOLANGUHuyu bwana huwa akija anakuja bila mke bali huja na malaya wa thailand,mkewe huja peke yake hajapata ongozana na mume wake,kwanza huyo mwarabu hupendelea kula aina fulani ya ndege ambao huwatega kwa kuwafunika na wavu kachimba kama bwawa ambapo ndege hao huja. Na pia huko porini kuna magari ya kifahari ambayo kwa TZ hakuna aliyenalo,mwanzoni mpambe wake alikuwa Doo langu akiwa maliasili yeye ndie alichonga mchongo kwa mzee Ruksa ili mwarabu ajinafasi baadaye Doolangu akapigwa chini sasa kinara wake hapa ambaye kwa habari za uhakika ndie pekee ambaye humpokea na kufanya mambo yote ni mheshimiwa sana msomali mwenye ushawishi mkubwa hapa nchini akitokea Arusha aliwahitishiwa nyau kuwa yeye sio raia wa TZ alipotaka kugombea uongozi mkoani Arusha na juzi tu moja wa kampuni anazomiliki ilishikwa na mzigo usioruhusiwa kusafirishwa nchi za nje bila kibali maalumu na huyu ni mtu mkubwa kwenye Chama chao,kwa hakika viongozi wa nambari wani ndio wanatuingiza mkenge huku familia zao zikinemeka na sijui hawa raia wenzetu wa kufikia wanatuona mabwege kwani tunawapa mianya na wanatu nanii...